Kishindo Knachoendelea Huko kwa Jirani Huenda ni Viagra

Kishindo Knachoendelea Huko kwa Jirani Huenda ni Viagra

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Mwanzo nilidhani wanafumua sementi ili asubuhi waweke tiles au wanavunja ukuta, baadaye hali ikawa mara mbili ya ile ya awali, kama kweli watu wanatumia hayo madawa basi anayejiumiza ni mwanaume siyo aliyepaniwa, ndiyo maana tunakufa mapema kuliko wao
 
Mwanzo majira ya saa 3 hivi nilidhani mafundi wanafumua sementi ili asubuhi waweke tiles au wanavunja ukuta, baadaye hali ikawa mara mbili ya ile ya awali, kama kweli watu wanatumia hayo madawa basi anayejiumiza ni aliyebugia siyo aliyepaniwa, ndiyo maana anayekufa ni mwanaume
Mkuu usiku wote huu ushaanza kutupia Mambo ya Vyumbani mwa watu?!!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom