T Tardy JF-Expert Member Joined Oct 31, 2021 Posts 1,287 Reaction score 1,607 Dec 1, 2021 #1 Mara nyingi nilikuwa nasikia kwa vijana vijiweni Luna mchongo pale. Nikaja kusikia mgombea Fulani anawambia vijana nitawapa michongo. Jana nimesikia mahakamani Michongo. Nini maana halisi ya neno Michongo? Je, ina athali kisheria kutumia neno hilo kwa shahidi awapo mahakamani?
Mara nyingi nilikuwa nasikia kwa vijana vijiweni Luna mchongo pale. Nikaja kusikia mgombea Fulani anawambia vijana nitawapa michongo. Jana nimesikia mahakamani Michongo. Nini maana halisi ya neno Michongo? Je, ina athali kisheria kutumia neno hilo kwa shahidi awapo mahakamani?
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 70,785 Reaction score 186,690 Dec 1, 2021 #2 π π π π π π mchongo ni mpango
M mnyoriii JF-Expert Member Joined Apr 18, 2020 Posts 507 Reaction score 493 Dec 1, 2021 #3 Wanamwaga mboga na shahidi anamwaga ugali.Huyu wa mchana huu inaelekea atatapika kupita kiasi. Inasemekana ni komandoo na aliwahi kwenda Sudan kutunza amani.hapa kuna kuumbuana Tutege masikio Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wanamwaga mboga na shahidi anamwaga ugali.Huyu wa mchana huu inaelekea atatapika kupita kiasi. Inasemekana ni komandoo na aliwahi kwenda Sudan kutunza amani.hapa kuna kuumbuana Tutege masikio Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kingsmann JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 4,805 Reaction score 17,850 Dec 1, 2021 #4 Mchongo Kujipatia au kutoa chochote kile kwa njia za konakona ama zisizo halali; mfano kazi, pesa, shahidi.[/b]
Mchongo Kujipatia au kutoa chochote kile kwa njia za konakona ama zisizo halali; mfano kazi, pesa, shahidi.[/b]
Kingsmann JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 4,805 Reaction score 17,850 Dec 1, 2021 #5 Konakona
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Dec 1, 2021 #6 Mchongo wanaanzisha watu wa mitaani wao huko wanapokea tu huko juu na masuti yao Ova
Midimay JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 3,036 Reaction score 5,039 Dec 1, 2021 #7 Huyu katibu wa Mkoa wa Chadema anaongea sana lugha ya mtaani.
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Dec 1, 2021 #8 Midimay said: Huyu katibu wa Mkoa wa Chadema anaongea sana lugha ya mtaani. Click to expand... Atakumbukwa Kwa kuwaeleza ukweli; 1. Mashahidi wa Mchongo 2. Mawakili wa Mchongo 3. Majaji wa Mchongo.
Midimay said: Huyu katibu wa Mkoa wa Chadema anaongea sana lugha ya mtaani. Click to expand... Atakumbukwa Kwa kuwaeleza ukweli; 1. Mashahidi wa Mchongo 2. Mawakili wa Mchongo 3. Majaji wa Mchongo.
T Tardy JF-Expert Member Joined Oct 31, 2021 Posts 1,287 Reaction score 1,607 Dec 1, 2021 Thread starter #9 Bila bila said: Atakumbukwa Kwa kuwaeleza ukweli; 1. Mashahidi wa Mchongo 2. Mawakili wa Mchongo 3. Majaji wa Mchongo. Click to expand... Kisheria inafiti au inaharibu
Bila bila said: Atakumbukwa Kwa kuwaeleza ukweli; 1. Mashahidi wa Mchongo 2. Mawakili wa Mchongo 3. Majaji wa Mchongo. Click to expand... Kisheria inafiti au inaharibu
Midimay JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 3,036 Reaction score 5,039 Dec 1, 2021 #10 Lembrus ameharibu sana ushahidi wa upande wa diffense(DWs).
Midimay JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 3,036 Reaction score 5,039 Dec 1, 2021 #11 Sasa anakuwaje shahidi mzuri wakati yeye tayari ana malalamiko?
Midimay JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 3,036 Reaction score 5,039 Dec 1, 2021 #12 In short, amehitimisha kwa kulalamika mahakamani na sio kuhitimisha ushahidi wake.