Kisiasa, Zitto Kabwe yupo wapi?

CHADEMA ina influential gani Zanzibar ?

Zanzibar wana maamuzi yao hata wangekuwa CHADEMA, hakuna wa kuwazuia kufanya yao.

Ishtoshe Mbowe hana utakatifu huo wa kukataa nafasi kama hizo labda kama umezaliwa jana.
Nimesema CHADEMA ina influence Zanzibar au nimesema

NI kwamba huoni, ama sometimes huwa unapata taabu kusoma kwa usahihi au huelewi?!

Kwamba eti Zanzibar wana maamuzi yao, hivi unajua unachokiongea kweli wewe?!

Ina maana chama kimoja kinakuwa na katiba mbili, inayo-operate Bara na Zanzibar hata useme wana maamuzi yao?!

Au ukumbushwe kama kujuzwa kwa mara ya kwanza kwamba Maalim Seif alipoingia ACT, aliingia na kundi lake, na wengi wao wakalamba uongozi ACT na kuwa kwenye kamati mbalimbali za maamuzi?! Hivi kwa akili yako opportunity kama hiyo pale CHADEMA wangeipata kirahisi wakati tayari chama kilishakuwa na uongozi wake top down?

Na suala la Mbowe linatoka wapi? Kwamba "oh, hana utakatifu huo", nani amezungumzia utakatifu au ubora wa Mbowe hapa?! Ameingijiaje ingiaje?!
 
Toka scandal za Zitto CDM tangu 2013 nilishamfuta kwenye siasa za upinzani..
He is doing his job.. and to my instincts it pays him whatsever he deserve..

Cheap and easily manipulated
Ilakipindi kile wakati anasema atampigia kura na kumuunga tundu lisu, zito alikuwa shujaa na kamandaa. Chadema hamueleweki kabisaaa.
 
Nimegundua wewe ni mpumbavu.

Nakupuuza.
 
Nimegundua wewe ni mpumbavu.

Nakupuuza.
Vipi dadangu mbona matusi?! Jibu ulichoulizwa badala ya kumwaga matusi... unataka wanao wajifunze nini kutoka kwa mama kama mama mwenyewe ni mmwaga matusi mitandaoni?!
 
Chadema ina uongozi imara?

Huu ulioingizwa " force king" na akina Halima James Mdee na Esther Bulaya?!!!!
 
Chadema ina uongozi imara?

Huu ulioingizwa " force king" na akina Halima James Mdee na Esther Bulaya?!!!!
Hivi huoni kwamba hapo nimelinganisha vyama viwili?!

Btw, wameingizwa vp "force king" na akina Mdee wakati kila mmoja anafahamu hao akina Mdee wapo hapo kwa msaada wa system?! Chama kimetangaza kuwavua uanachama, na ukiwasikiliza walichoongea ni kwamba "wataendelea kuwa wanachama wa hiari: kuonesha kwamba hata wenyewe wanafahamu sio wanachama halali tena!

Wakati hali ipo hivyo, katiba inasema wazi kwamba Wabunge kutoka kundi la wanawake na wa kuchaguliwa ubunge wao utakoma endapo wataendelea kuwa wanachma wa vyama wanavyoviwakilisha!!

Hivi hadi hapo mtu anahitaji kuwa na shahada ya political science kufahamu akina Mdee sio Wabunge kwa sababu ya kuwaingiza CHADEMA bali ni kutokana na system ya hovyo iliyoapa kulinda uhuni kwa sababu ni uhuni wanaoutengeneza wenyewe?!

Au unaweza kueleza hapa wameiingiza vp CHADEMA force king?!
 
Kwani kuna Siku ambayo Mtu aliyebobea zaidi katika 'Unafiki' huwa anakosa 'Tawi' la 'Kuegamia ili aweze kuendelea na 'Unafiki' wake Uliomtukuka?
 
Prof Lipumba alimnyang'anya Seif Chama (CUF) chini ya usaidizi wa serikali, hatimae Seif naye amemkwapua Zitto chama kwa njia ile ile.
 
Ndugu zetu wa chadema ni wenzetu katika upinzani. Na kukosoani katika kurekebisha ila isiwe kwa matusi. Una point unaeleza inafahamika. Adui yetu ni CCM. Mungelikaa chini muka fahamu CCM wanavo "operate". Sasa hivi ikulu zanzibar kuna mkutano wa dharura. viongozi mashuhuri wamezoa zaidi ya trillion dollars za zanzibar. Sisi kama ACT tuache nchi imalizwe kwa sababu ya uchashi wa kisiasa tu, Lazima tuhakikishe ujinga huu unakwisha. Mtu amekaa serikalini miaka 5 ana nyumba 70 za kifahari zenji. Nyinyi subirini musikie mambo yaliopo zanzibar. Wastaafu wameuwa nchi hii. Lazima tutafute fagio la chuma. balaa tupu huku.
 
Yupo Zanzibar
 
Ilakipindi kile wakati anasema atampigia kura na kumuunga tundu lisu, zito alikuwa shujaa na kamandaa. Chadema hamueleweki kabisaaa.
Aliesema mimi Chadema nani
Btw a person is tested by a character...
Zitto proved to be of questionable integrity when it comes to Power and Money..
 
Ni afisa kipenyo daraja la kwanza.
 
Kwahiyo kuungana kwao kutaponya roho za watu waliouliwa ili Mwinyi awe Rais ?
 
CHADEMA ina influential gani Zanzibar ?

Zanzibar wana maamuzi yao hata wangekuwa CHADEMA, hakuna wa kuwazuia kufanya yao.

Ishtoshe Mbowe hana utakatifu huo wa kukataa nafasi kama hizo labda kama umezaliwa jana.
KWAHIYO MAALIM AMEMEZA HUO MFUPA KWA SABABU MBOWE "HANA HUO UTAKATIFU"?
 
Kwahiyo kuungana kwao kutaponya roho za watu waliouliwa ili Mwinyi awe Rais ?
Ndugu yangu, tuwaache marehemu wapumzike, tusiwatumie kisiasa. Kifo haikatazi jamii kutoshirikiana kutafuta suluhisho la matatizo ya kijamii.

Afrika Kusini waliweza kumaliza matatizo yao kwa kuungana na kuweka kamati ya usuluhishi. Kenya walifanya hivyo hivyo hata Northern Ireland nao wameweza. Kwanini isiwe Zanzibar?
 
Toka scandal za Zitto CDM tangu 2013 nilishamfuta kwenye siasa za upinzani..
He is doing his job.. and to my instincts it pays him whatsever he deserve..

Cheap and easily manipulated
Mkuu nenda kwa rasi Simba ukifunze ngeli! He deserves not he deseve
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…