Kisigino kinaniuma sana!

Niliwahi kuwa na tatizo kama hilo three years ago .

Sababu nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia kila wakati.

Kuna dawa zile za kuchua nilikuwa ninapaka kwenye kisigino kila baada ya kuoga bila kusugua .

Nilitumia kwa wiki kama moja hivi vikaacha kuuma .

Saivi naendelea mazoezi kama kawa tena Masafa marefu bila kuuma.

Jaribu zile dawa za kuchua may be utapona
 

Mkuu nina tatizo kama lako, na pia inafanya mazoezi ya kukimbia.

Wakati unaendelea kupaka dawa ya kuchua inabidi usimame kabisa kufanywa mazoezi?
 
mkuu hospitali ipi ulienda na kama hutajali naweza kumjua dokta jina lake
 
Mkuu kama bado upo humu,tunaomba mrejesho tiba gani ilikusaidia.
Kuna rafiki yangu ana tatizo kama hilo
 
Tatizo linaweza kuw limesababishwa na aina ya viatu unavyo pendelea kuvaa

Jaribu kuvaa viatu vilaini (visivyokuwa na visigino vigumu)

Ukiamka asbh, wakati unashuka kitandani nyayuka na vidole vya miguu, tembea navyo km dk mbili hv ndo ukanyage na unyayo wote.

Nilishakuwa na shida km hyo lkn kwa sasa haipo tena
 
Uliponaje maana mimi imenianza jana naumia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…