Kisimbuzi cha Azam kinajiamulia mambo kitakavyo, sikielewi kabisa

Kisimbuzi cha Azam kinajiamulia mambo kitakavyo, sikielewi kabisa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ukiizima kwa Remote baada ya muda unakuta imejiwasha. Sijui shida ni nini. Na ni mpya haijaharibika kitu. Nazima kila napomaliza kuangalia....lakini baada ya sekunde nakuta ipo On.

Ukija kwenye remote nayo ina mauza uza sana. Unaweza ongeza sauti yenyewe ikabadili channel. Ukabonyeza Menu yenyewe ikaamua kubadili channel au ikawa inakutizama tu. Au ukabonyeza mpaka mara 5 halafu kwa hasira inakamua kuingia kwenye menu na kuanza ku search upya channels.

Sielewi jamaa wanatumia technology gani. Mimi nimezoea sana DSTV one touch wazungu hawa... Usije sema batteries. Ni mpya kabisa na ni Duracell siyo hizi batteries za elfu mbilimbili.

Azam mtusaidie sisi wengine please. Shida nini?
 
For sure, hivi ving'amuzi vinazingua sana tena sana..hapa nilipo kinajizima tu kikiamua na kuwaka mpaka kitake chenyewe. Nilimuita fundi aliyekifunga mwezi september (nilinunua dukani kwao) lakini nilishangaa ananipanga eti inabidi nilipe elfu 25 abadili LNB na HDMI cable..hivi hii ni fair? Nimeshindwa hata kucheki game ya simba na Geita na hata final ya WC sijui kama nitaiona hapa home. Natamani kukigawa bure na ndio utakuwa mwisho wangu kutumia Azam. Kwa kweli inaboa sana,ni ushuzi mtupu.
 
Kimtambo chako kibovu kamuone wakara
Jamani hujaweza hata kuandika Wakala vizuri? Hakuna kitu kibovu. Nimeshapeleka Pale Tazara mara mbili wanakagua wananirudishia wanasema ipo ok.
 
Mimi natumia Azam TV. King'amuzi cha ovyo sana hiki.
Halafu mkuu, wewe una DStv, unahamia azamtv kutafuta nini
Unaona jinsi unavyojichimbia kaburi mwenyewe[emoji52][emoji52]
Bwana mdogo anataka aangalie NBC P. LIGI. Yaani ni Majanga hawa AZAM
 
Niliamua kuachana na Makobazi Toka 2020 king'amuzi ata manyunyu yakidondoka ni no signal alafu Mimi siyo shabiki wa mpira wa bongo Darby ya kariakoo Huwa naenda Bar tu
 
Ukiizima kwa Remote baada ya muda unakuta imejiwasha. Sijui shida ni nini. Na ni mpya haijaharibika kitu. Nazima kila napomaliza kuangalia....lakini baada ya sekunde nakuta ipo On.

Ukija kwenye remote nayo ina mauza uza sana. Unaweza ongeza sauti yenyewe ikabadili channel. Ukabonyeza Menu yenyewe ikaamua kubadili channel au ikawa inakutizama tu. Au ukabonyeza mpaka mara 5 halafu kwa hasira inakamua kuingia kwenye menu na kuanza ku search upya channels.

Sielewi jamaa wanatumia technology gani. Mimi nimezoea sana DSTV one touch wazungu hawa... Usije sema batteries. Ni mpya kabisa na ni Duracell siyo hizi batteries za elfu mbilimbili.

Azam mtusaidie sisi wengine please. Shida nini?
Narudia tena Azam TV ni kisimbuzi cha watu maskini na wavaa makobazi.. mbali na shida kubwa za kiufundi ambazo wanazo, wanatumia kisimbuzi kama chombo cha kusambaza propaganda za kiislamu kupitia filamu/tamthilia na content zote zinazofanana na hizo.. its a shit..
 
Back
Top Bottom