Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Unapatkana wap mkuuNauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na usiwaze jinsi ya kulipia kifurushi, utalipia kwa M-pesa Visa card kwenye simu yako.
Changamkia fursa hii...
nahitajiNauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na usiwaze jinsi ya kulipia kifurushi, utalipia kwa M-pesa Visa card kwenye simu yako.
Changamkia fursa hii...
Unachokimoja au ndo biashara yakoNauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na usiwaze jinsi ya kulipia kifurushi, utalipia kwa M-pesa Visa card kwenye simu yako.
Changamkia fursa hii...
Ndio biashara nimeianza, nilikuwa navyo vitano na sasa kimebaki kimojaUnachokimoja au ndo biashara yako
Njoo PMnahitaji
Jibu hii hoja mr Renzo BarberaShida inakuja jinsi ya kuwapata customer care wa kenya maana ukiwapigia wa Tanzania watakwambia awakutambui
jibu hii hoja mr Renzo Barbera
Kishauzwa, bei laki 1Kwahiyo unauza bei gani?
Mkuu mzigo upo tena, bei laki 1 tu kama bado unahitaji nichek PM tuyajengenahitaji
Ikiwa na dish bei ganMkuu mzigo upo tena, bei laki 1 tu kama bado unahitaji nichek PM tuyajenge
Nina king'amuzi tupuIkiwa na dish bei gan