Megawatt B
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 259
- 69
Jamani, inasikitisha kuona kwamba bado tunaendelea kupotosha jina halisi na lugha fasaha ya kiswahil kwa hiki chombo kinachoitwa Decoder kwa kiingereza. Decoder kwa kiswahili fasaha ni KISIMBUZI na siyo KING'AMUZI. Na huu mfumo kwa kiingereza tunaouita DIGITAL kwa kiswahili fasaha ni DIGITI na siyo DIGITALI. Watanzania tunahitaji kukienzi lugha yetu, tusije haribu kama tulivyoharibu FISIDI/UFISIDI tukaita FISADI/UFISADI.
Kidumu na kiendelee kiswahili!
Kidumu na kiendelee kiswahili!