naomba kufahamishwa kisonono baridi ni nini kwasababu ukipita mitaani mabanda mengi ya Dawa za asili yanaorodhesha kisonono baridi kama miongoni mwa magonjwa wanayotibu. Hiki kisonono baridi kinasababishwa na nini, madhara yake ni nini na kwanini kinafahamika na tiba asili zaidi kuliko tiba rasmi?