sasa unataka nini tena kama yeye kashasema mpaka akalize form six? haya kamwambie Obinna wa JF amekuambia upewe hilo kiss!........na bado utapewa *******akimaliza chuo!
Msaada gani naye keshakwambia mpaka amalize shule. Hataki kuchanganya mapenzi na shule anajiandalia maisha yake ya baadae sanasana wataka kumchezea binti wa wenyewe tii maamuzi yake kama kweli wampenda
So huyo ni fisi eeh but ntajuaje?
Aaaah nataka nijue kama hapa kuna real love or uchakachuz jaman hata mkono?