ah mchaji kwa nini asimwambie kwa utaratibu kwanza kabla ya kumtia vidonda?!
Mi sikushauri mamam mchingaji kwanza dhambi kisha atakunyima vyote shauri yako!! teh teh
Wewe toa ushauri tu kwa faida ya wote na sio kwa mama mcungaji-huyu ni mwanaume anayejiita mwanamke na nilimpa sababu kama anataka abishe hapa.
Kuna madenda mengine mtu anakuwa kama analamba koni yaani lijiulimi hadi kwenye pua na pumzi mnazibana. Mbona kazi mnayo!!
jamani nisaidieni,,mi mwenzenu nina allegy na denda...ila kazinayoipata huyu mwenzangu anapenda, kila napomwambia mi sitaki utaona huyo kaja...bwana we sipendi mimi...lakini bado ananijia sehemu ya mdomo..hasa tunapokuaga kwenye ile kazi** ndo utamuona huyo kwa hio nafanya kazi ya kumkwepa..hebu nisaidieni nafanya sawa..na je nifanyaje aache kunikera maana imekua kero..si mnajua mtu anapokufanyia kitu kinachokuboa inavyokuaga.. nyie acheni.[/QUOTe
Siku hizi kuna Kiss ya tIGO,utakuta kidume kinamung'unya tIGO utadhani mahindi ya kuchoma yamekuwa attached kunako tigo. Na wadada wananyonya tIGO za wapenzi wao pia.
Karibu kwenye ulimwengu maridhawa wa mapenzi@uchafu.com
hapo ni bado anakuteremshia vile vimate mate vyepec cjui ni vya utamu, vinachuruzika mpaka shingoni! kuna watu hawajui kabsa hii kitu jamani.....
Umenikumbusha shoga yabngu alikuwa ananilalalmikia kuwa shem wangu hapendi kuoga usiku yaani akitoka mihangaikoni mwake na kisha kupitia kwenye viti virefu anarudi njwiiii na kula na kupanda kitandani !!!
Mh,shosti! hapo inakuwa ngumu. hasa kama mtu mwenyewe sio muelewa. Bila kuoga hapati kitu, bora lawama! Raha ya kazi ni kulamba popote unapojisikia. Pole mama Mchungaji, wenzio denda tu linaweza kutufikisha anga za juu, hasa ktk zile siku za mwezi. Labda shemeji yako atege tu.
Wewe toa ushauri tu kwa faida ya wote na sio kwa mama mcungaji-huyu ni mwanaume anayejiita mwanamke na nilimpa sababu kama anataka abishe hapa.
asante sana ndugu yangu, naona sasa wanajamii watajua sio mimi pekeyangu ambaye mambo haya yananikera...kwa wale wanaoniita mimi najifanya mwanamke kumbe mwanaume eti tu kwa vile navyoyaandika maneno yangu, kwanza napenda mfahamu most of ma friends ni wanaume, napika story nao nafanya kazi nao, so nafahamu mengi kuhusu wao...jaribuni kuwasaidia watu kimsingi zaidi bila kuangalia ninani huyu...zingatieni mada zaidi kuliko mtoa mada... nikijitaja hapa kuna mtu atazimia maana inawezekana wewe unayekazana kusema mi ni mwanaume nikawa ni mkewako.... asanteni na nawapenda wote..Mimi wala simlaumu Mama Mchungaji. Kuna baadhi ya watu (kama mimi kwa mfano) ambao ni wepesi sana kupata kinyaa. Mimi hata chakula changu huwaga sipendi kishikwe na mtu mwingine. Hata kusalimiana kwa kushikama mikono sipendi (unajua kuna watu wana katabia kakujikuna kuna sehemu za siri, wengine kuingiza vidole puani kutoa boogers...yuuck...halafu hawanawi mikono). Sasa unamsalimia mtu unamshika mkono kumbe mwenzio katoka kujikuna kende au pusi yake. Gademu...that's nasty.
Hilo la denda ndio kabisa sipendi. Mdomo wa binadamu mchafu sana. Utakuwa mtu katoka kula kifungua kinywa, chakula cha mchana, na cha jioni halafu hata kufloss hajafloss au hata kusukutua hajasukutua halafu jioni akirudi nyumbani mwenzio anataka denda. Mibacteria iliyojikusanya kwenye domo lake siku nzima wewe eti ndio utailamba. What the fcuk?
Usafi wa kinywa kitu muhimu sana. Mimi nyumbani lazima niwe na chupa ya Listerine (Advanced), chupa ya Hydrogen Peroxide, na flossing thread na picks na kikwangua ulimi na mara mbili kwa mwaka naenda kwa mganga wa meno kusafishwa. Demu ambaye hana oral hygiene standards zangu simli denda!
asante sana ndugu yangu, naona sasa wanajamii watajua sio mimi pekeyangu ambaye mambo haya yananikera...kwa wale wanaoniita mimi najifanya mwanamke kumbe mwanaume eti tu kwa vile navyoyaandika maneno yangu, kwanza napenda mfahamu most of ma friends ni wanaume, napika story nao nafanya kazi nao, so nafahamu mengi kuhusu wao...jaribuni kuwasaidia watu kimsingi zaidi bila kuangalia ninani huyu...zingatieni mada zaidi kuliko mtoa mada... nikijitaja hapa kuna mtu atazimia maana inawezekana wewe unayekazana kusema mi ni mwanaume nikawa ni mkewako.... asanteni na nawapenda wote..
wee achana na denda nilikuwa na demu wakwanza alikuwa ananiambia wewe unapenda sana dena nilikuwa nikimkamta kwenye denda nasikia raha sana hata asiponipa gemu nakuwa nimeridhika na mademu wengi niliobahatika kuwa nao sio wete tuliokuwa tunaenda mpaka kwenye kufanya tendo la ndoa bali wengi sana nimeishia nao kwenye hiyo kitu mnaita romance yaani denda na mimi mke niliyenaye sasa yalikuwa kama ya joji maana sikuwahi awali alikuwa rafiki yangu wa kawaida na hatukuwa tumeambia kuwa tutakuwa wapenzi au kuombana tendo lakini tulikuwa tunaklutana mara nyingi na tunafanya mambo mengi pamoja kama dada na kaka na alikuwa anakuja nyumbani tunakuwa na wakati mzuri story na vitu kama hivyo, akaniingia moyoni na nikaanza kuwa na wazo la kumtaka kimapennzi lakini nitaanzia wapi wakati tulifikia kiwango cha juu cha kuonana kama kaka na dada sikuwa. basi siku moja alikuja nyumbani akanikutata namumunya pipi na nilikuwa na nyingine mkononi nikamkaribisha wakati anataka kuchukua nikamtania achukue ile ya mdomoni nayeye bila hiyana akaleta kinywa chake kupoka pipi sikuamini lakini ilibidi nimpe akaipokea nikaona mbona rahisi kama kumwangisha mlevi vile nikaidai pipi yangu akanirudisha wee malizia mwenyewe nini kileendela hapo .........
wewe bado mtoto wenzako wananyonyana mpaka Mk*nd* taratibu utazowea na utapendelea
Mmh huo sasa ufirauni na uchafu! aaghrrr
yeah yeah yeah u r right mkuu!!.Kuna tranny mmoja humu anaitwa Halima anapenda sana salad yake kuwa tossed!