KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
[emoji1]Anatetea haki za weusi ili wajitambue ila kafia nchi ya weupe. Tunaomba wenyezi Mungu amfanyie wepesi katika maisha yake mapya aliyoanza.
Kwenye uzi ulioambatanisha hakuna chochote cha maana kinachomtambulisha kiundani huyu mwendazake.Mwana harakati mahiri wa kutetea haki za watu weusi wajitambue na warudi kwenye asili yao Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya amefariki dunia huko Sweden πΈπͺ.
Kissendi aliugua muda mfupi kabla ya kufariki kwake. Mipango ya mazishi inaendelea.
Bado wana familia hawajaweka wazi ni lini mwili wa shujaa huyo utarudishwa lini.
Pia, soma: Mjue Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya Mkushi, Muongoza harakati za Waafrika kujitambulisha wao na asili yao
Sasa utateteaje haki za weusi. Ukiwa kwa weusi wenzio!?Anatetea haki za weusi ili wajitambue ila kafia nchi ya weupe. Tunaomba wenyezi Mungu amfanyie wepesi katika maisha yake mapya aliyoanza.
Yeah mkuu atatetea vipi haki za watu weusi wakati amejificha kwenye security complex za wazungu?,mimi nilitegemea kusikia alikua anaishi huku makanyagio, mtwango,unango, etc etc,kumbe alikuwa Stockholm!!Sasa utateteaje haki za weusi. Ukiwa kwa weusi wenzio!?
Unatetea haki za weusi ukiwa kwa wazungu manake huko kwao
Mtu mweusi anabaguliwa.
Pls recharge your art of reasoning.
Upo low sana
Apumzike kwa Amani. Alikuwa mwanachama JF kwa ID ya Hotesh Wakush kama nakumbuka vyema.Yeah mkuu atatetea vipi haki za watu weusi wakati amejificha kwenye security complex za wazungu?,mimi nilitegemea kusikia alikua anaishi huku makanyagio, mtwango,unango, etc etc,kumbe alikuwa Stockholm!!
ππππRIPHuna hata kapicha, inaonekana kama chai tu hii....
Sijauambatanisha mimi, ni Moderator wa JamiiForumsKwenye uzi ulioambatanisha hakuna chochote cha maana kinachomtambulisha kiundani huyu mwendazake.
Sasa utateteaje haki za weusi. Ukiwa kwa weusi wenzio!
Ni kweli anabaguliwa kwa sababu yeye mwenyewe kwanza anajidharaulisha na kujidhalilisha mbele ya dunia. Hebu imagine watu maelfu kwa maelfu wana risk kufa kwenye maji ili tu afike Ulaya....halafu piga picha kiongozi mmoja wa Serikali ya kiafrica kaiba hela ameficha Swiss au Isle of Man ili tu yeye aneemeke and millions of his countrymen wateseke.Mtu mweusi anabaguliwa.
Una qualities zote ulizozitaja. Nakurudishia mpira.Sasa utateteaje haki za weusi. Ukiwa kwa weusi wenzio!?
Unatetea haki za weusi ukiwa kwa wazungu manake huko kwao
Mtu mweusi anabaguliwa.
Pls recharge your art of reasoning.
Upo low sana
Amefia nyumbani kwao Sengerema, Tafadhali fanyia marekebisho hilo.View attachment 2876505
Mwana harakati mahiri wa kutetea haki za watu weusi wajitambue na warudi kwenye asili yao Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya amefariki dunia huko Sweden πΈπͺ.
Kissendi aliugua muda mfupi kabla ya kufariki kwake. Mipango ya mazishi inaendelea.
Bado wana familia hawajaweka wazi ni lini mwili wa shujaa huyo utarudishwa lini.
Pia, soma: Mjue Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya Mkushi, Muongoza harakati za Waafrika kujitambulisha wao na asili yao
RIP Mwamba.Anatetea haki za weusi ili wajitambue ila kafia nchi ya weupe. Tunaomba wenyezi Mungu amfanyie wepesi katika maisha yake mapya aliyoanza.