Kisukari type 1

Kisukari type 1

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
salam waungwana.mimi baba yangu anakisukari na kimemtesa sana mwanzo nilihakikisha anafuata masharti ,kikaendelea badae madaktari wakashauri atumie sindano insulin akapata ahueni ,katikuhangaika nikaambiwa nitumie herbalist clinic nimezunguka weee wapi ,ndo nimerelize type 1 wanasema haitibiki ni kufata masharti na kuchoma insulin hadi kufa ,nipeni ushauri nifanyeje hata india ka wanaweza nampeleka
 
I am diabetic type 2, as far as i know there is no cure, ila ni lazima kufatilia miko. wanasema ujerumani kuna clininc which uses born marrow or wengu transplating which is not recommended by Doctors.
 
maskini mm nimekosa solution
 
Back
Top Bottom