Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Fool, that Golden Rays Hotel is in Homabay and not Kisumu!
Wenzako wanaleta habari za maendeleo makubwa kama meli na ujenzi wa hospital wewe unaleta majengo ya guest house
Lazima tujue pia watu vipato vyao ni vipi, je mambo mitaani ni vipi...sio kutuonyesha meli, misingi ya ma hospitali kumbe watu mitaani hawana kitu..hohehahe tu..Wenzako wanaleta habari za maendeleo makubwa kama meli na ujenzi wa hospital wewe unaleta majengo ya guest house
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako kadanganya anatuletea vitu sivyo... Na wewe unashadadia tu ...Cheki hapo juu Geza alivyomwambia... Waongo sana ninyiLazima tujue pia watu vipato vyao ni vipi, je mambo mitaani ni vipi...sio kutuonyesha meli, misingi ya ma hospitali kumbe watu mitaani hawana kitu..hohehahe tu..
Kuhusu hospitali kisumu zitele
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako pia anaongea pumba, ndio manake nikampa zake..miradi ya serikali halafu watu maskiniMwenzako kadanganya anatuletea vitu sivyo... Na wewe unashadadia tu ...Cheki hapo juu Geza alivyomwambia... Waongo sana ninyi
Sent using Jamii Forums mobile app
I haven't posted any hotel. Kumbe huu uchizi wako ujaiacha.Fool, that Golden Rays Hotel is in Homabay and not Kisumu!