Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
Ndio maana nakuambia tatizo lako bado ni moja tu, umekariri!!Facts.
1. Kisumu has better roads than Mwanza
2. Kisumu has more flyover and interchanges than all of Tanzania
3. Kisumu has more malls than Mwanza
4. Kisumu has better housing than Mwanza
5. Kisumu has better hospitals than Mwanza
6. Kisumu has better airport than Mwanza
7. Port ya Kisumu is far much ahead of that of Mwanza.
8. Kisumu has better hotels than Mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
nakupa substitute zenye level unayopaswa kulinganisha hiyo kisumuUmeona kama Mwanza haiezi so umeanza kutisha usaidizi kutoka kwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Those shit houses slum like
Hahaha,wataweza kweli...CBD niliyoona uipambanishe na iringa uone kama utachomoka, just example 👇View attachment 1307071View attachment 1307072View attachment 1307073View attachment 1307074naishia hapo kwanza
Ndio maana nakuambia tatizo lako bado ni moja tu, umekariri!!
Narudia tena UMEKARIRI
Hehehe show me houses zenye zinaezakaribia hizo in Mwanza. Mwanza is just a glorified village.Those shit houses slum like
Mkuu katuwekee pia kule jukwaani kwetu....I promisse to bring you nice pics of mwanza city from thursday stay tuned!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
That's why nimekuambia bado umekariri,
Hahahaha yaani kwenu hizo ndo most advanced houses...Hehehe show me houses zenye zinaezakaribia hizo in Mwanza. Mwanza is just a glorified village.
Sent using Jamii Forums mobile app
Why are you beating around the bush? Why can't you post the pics here. Ama haziko.Hahahaha yaani kwenu hizo ndo most advanced houses...
Ukaziweke kwenye jukwaa letu huko, ukiweza pia kutuletea images za maeneo ya nyakato buzuruga, mwananchi na igomaI promisse to bring you nice pics of mwanza city from thursday stay tuned!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu ameinsist kwa neno moja just know amebanwa.That's why nimekuambia bado umekariri,
Hahaha eti roads and you failed to bring 6 lane,hospitals leta hospitali bora kuliko bugando, hotels leta hoteli five star kama malaika...leta kwanza hivyo ndo tuendelee...Facts.
1. Kisumu has better roads than Mwanza
2. Kisumu has more flyover and interchanges than all of Tanzania
3. Kisumu has more malls than Mwanza
4. Kisumu has better housing than Mwanza
5. Kisumu has better hospitals than Mwanza
6. Kisumu has better airport than Mwanza
7. Port ya Kisumu is far much ahead of that of Mwanza.
8. Kisumu has better hotels than Mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Wewe, uko na akili kweli? Hii Iringa si hata heri ucompare na Garissa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahangaika na mtu aliye kariri hajafanya research ye ni kukurupuka tuHahaha eti roads and you failed to bring 6 lane,hospitals leta hospitali bora kuliko bugando, hotels leta hoteli five star kama malaika...leta kwanza hivyo ndo tuendelee...
Huja attach pic mzee babaIla kenya is Poor mazee, see this Aerial View of Garisa,
Nzega town is far better and developed than your poor Garisa
Tulimbana kwenye barabara akakimbia....anajifanya kasahau anarudi tena..Tunahangaika na mtu aliye kariri hajafanya research ye ni kukurupuka tu
Usiwe mbishi. Just come in Mwanza with the same kind of business utakuwa suprised. Unless you sell or rent them out at a very cheap price, usitegemee kupata wapangajiMy friend in Kenya also most houses ni za individuals who then go ahead and rent them out. Estates are just designated land with houses. These estates are separated by either roads, rivers, forests.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba, yaan wanazitukuza sana Estates kwao, Waambie wakuletee makazi out of Estates, uni tag wakiletaUsiwe mbishi. Just come in Mwanza with the same kind of business utakuwa suprised. Unless you sell or rent them out at a very cheap price, usitegemee kupata wapangaji
Consumer behaviour is just different. Hizo estates hazipo glorified in Mwanza maana hukaa kama public servant residential houses. Only people with less financial muscles to build their own houses are expected to live in there. Ndo maana Tz watu hununua na kuzipangisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha eti roads and you failed to bring 6 lane,hospitals leta hospitali bora kuliko bugando, hotels leta hoteli five star kama malaika...leta kwanza hivyo ndo tuendelee...