Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio Dar is Slum katika uhalisia wake.Atakayesema mwananyamala A ni uswahili kupitiliza nitamcheka sana.Atakayesema ubungo maziwa ni uswahilini nitamcheka sana tyuuu.Atakayesema mbagala,gongo la mboto,chanika ni uswahili huyu ni kchaa zero brain
Sio kwa ubaya jamanii ukweli usemwee tyu
Nina marafiki kibao wanakaa mitaa hiyo sijui wanawezagajeee
Mambo ya uswaziii nayapenda tena mie mswahili mnooo ila sasa sipendi tyu palivyo pabayaaa
Uwiiiii jaman huko ndo sijui mwananyamala ilobaki ukiondoa A ambapo ni afadhali,buza tandika tandale, jangwani, manzese,tabata tot uwiiii hapafaiiii yaani mnaoishi humo sijui mnasavaivu vepee jamani eeeh
Mfano huko Tabata T.o.T ya kupitia darajani mkono wako wa kulia kwa mtu anayetokea tazara duuuh hiv mnaoishi pale mnapawezaajeeee??Nyumba zimesongamana yaani hakuna njia hata ya gari kupita wala bajaji ni vichochoro tyuuuu mafuriko yamewakumbuka juzi sijui jana mimaji imejaa kila nyumba hapapitikiii pabaya pananukaaah mhhhh!!Sijui mnawezajee kweli?mie hata usingizi sitapa sio kwa msongamano ule nyumba low quality mavyoo hayana mabati vichochoro vimejaa maji machafu matakataka mhhhhh hapanaaah ray nasema noo mnawezaje kuishi muleee????Sijui hata serikali isaidie vipi hayo maeneo yaweze kuwa angalau mazuri na kuwe na system za maji taka na nyumba za low quality zibomolewe au ziboreshweeee
Tot ni kama kuzimuuuuuu
Serikali isaidie kuboresha settlements maeneo haya mkisindwa kabisa wapeni elimu na uelewa kuhusu namna ya kuboresha huko wanapoishi maana mh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili jengo liko wapi...nimepotea
Wamepanga hapo hahahahahaHili jengo liko wapi...nimepotea
Siyo Kila Kiuzwacho Sokoni Chafaa Kununuliwa
Liko karibu na Soko kuu, Jengo linamilikiwa na Chama kuuHili jengo liko wapi...nimepotea
Siyo Kila Kiuzwacho Sokoni Chafaa Kununuliwa
Watu wanaishi wapi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Ngoja walete ya kisumu ya serikali
komora096
Watu wanaishi wapi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Naona watu kukimbia[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app