abd-rashid nkando
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 207
- 160
Ni ipi dawa ambayo inatibu visunzua na nini chanzo cha huu ugonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nini kisunzua?
Mbona hawajibu kisunzua ni nini?
Ni ipi dawa ambayo inatibu visunzua na nini chanzo cha huu ugonjwa
Ina muda gani na ipo sehemu gani ya mwili?
kwani kisunzua ni nini au ugonjwa gani?...madaktari tupeni jina la kitaalamu au la kiswahili fasaha...lugha hizi jamani wengine zinatupa tabu sana watu wa bara sie.
Ndio nini kisunzua?
Mbona hawajibu kisunzua ni nini?
Kisunzua au Masundosundo
[h=2]Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)[/h]
Ugonjwakwa kitaalamu vinaitwa human papillom virus HPV,
Vinaambukizwakwa mgusano wa damu au wa majimaji kutoka kwa mtu mwenye navyo hadi mwingine, hivyo kupelekea sababu mojawapo ya kuambukiza hivi vinyama kuwa ni ngono zembe.
Nasikia hakuna dawaila mwili wenyewe unaweza kuviondoa vyenyewe na kupotea vyenyewe kabisa au huweza kusambaa sehemu mbali mbali za mwili na kuwa tatizo kubwa.
Hatari yakezaidi huweza leta kansa za aina mbalimbali kwa wanawake na wanaume, sababu hukwenda kubadilisha seli za mwili embu fikiria vikiota ndani ya mwili kwa ndani, basi tena ndio kansa tayari .
Chanjo ipo kwa ambao hajapata ugonjwa huo na kwa watoto wenye umri wa miaka 10 hadi 12, sijui hiyo chanjo kwa hapa TANZANIA au Afrika mashariki ipo?!
Kuhusu Tiba ya hivi vidude kwa njia ya asilia au namna nyingine yoyote; fuatilia mjadala huu...
![]()
![]()
Mkuu The Intelligent Human papillomavirus (HPV) is a DNA virus ni Mkusanyiko wa Maradhi ya Zinaa ni Virusivinavyotokana ndani ya DNA. Kwa mfano Mtu akisema Ukimwi sio Ugonjwa ila ni mkusanyiko wa maradhi mwilini mwako Upungufu wa kinga mwilini mwako sasa utakapo umw ana maradhi yoyote mwilini ukiwa huna kinga ya huo maradhi ukienda kupimwa unaonekana unao ukimwi. Na ndio hivyo hivyo hiyo (HPV) inatokana na maradhi ya Zinaa kwa ufupi unaweza kutembelea hapa.https://en.wikipedia.org/wiki/Human_papillomavirusMkuu Mzizi mkavu HPV ni kweli unatokana na sababu ulizozielezea ila sijui kama hivyo vinyama vinavyotokea kutokana na ugonjwa huo ni sawa na anasemea mleta mada. Kwanza chunjua kwa kiingereza au lugha ya kitaalam kama inavyosemwa inaitwa wat na sio HPV au inatokana nayo kwa sababu ni watu wengi tu wanavyo au waliwahi kupata, je nao walijihusisha na ngono au kugusana na mtu mwenye maanbukizi? Inawezekana ulichokisema ulimaanisha inayotokana na HPV kwa sababu zinafanana, labda mleta mada aeleze vizuri ijulikane ni vinyama gani hivyo, isiwe anadhani ni sunzua kumbe ni HPV uliyoitaja.
Ukikosa Dawa ya kuweza kukutibia Maradhi yako nitafute mimi dawa ya kuweza kukutibia maradhi yako ninayo ukihitaji matibabu yangu bonyeza hapa.MawasilianoNi ipi dawa ambayo inatibu visunzua na nini chanzo cha huu ugonjwa
Samangombe ni kitu gn bro na naweza kupata wapiChukua samang'ombe ukichome afu uikatiemo, kinapona kabisa