Kisutu-Dar: Lusubilo Mwakabibi na Edward Haule wafikishwa Mahakani

Kisutu-Dar: Lusubilo Mwakabibi na Edward Haule wafikishwa Mahakani

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Temeke Lusubilo Mwakabibi na Edward Haule, Wamefikishwa Mahakamani Kisutu asubuhi hii.

Hatua hii imekuja baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutoa siku nne kwa TAKUKURU kumfika Mwakabibi Mahakamani ajibu Mashitaka yanayomkabiri.

Katika ziara yake ya Jumapili 15 Agosti 2021 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hakuridhishwa na gharama za ujenzi wa miradi ukiwemo ujenzi wa barabara za Kijichi-Mwanamtoti yenye urefu wa kilometa 1.8 iliyogharimu Sh bilioni 5.4 na barabara ya Kijichi-Toangoma yenye urefu wa kilometa 3.25 iliyogharimu Sh bilioni 13.5.

Majaliwa aliigiza Takukuru kuwafikisha mahakamani waliohusika na ubadhirifu wa fedha hizo na viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke waliohusika kukopa Sh bilioni 19 kwa ajili ya ulipaji fidia ujenzi wa miradi.

Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Temeke, Donasian Kessy aliwataja watuhumiwa wengine kuwa ni aliyekuwa msimamizi wa miradi hiyo ya DMDP aliyemtaja kwa jina moja tu la Edward, mhandisi wa mradi na waliokuwa wanamshauri Mkurugenzi.

Wakisomewa Mashitaka nitawapa Update Mashitaka Waliyosomewa. Kama namuona akikaa Chumba Kimoja na Mbowe Korokoroni.

MY TAKE:
Wanasiasa Nawaasa tendeni haki, kuna leo na kesho.

======

UPDATES;

=====

Dar es Salaam. Aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi na mratibu wa mradi wa uendelezaji Jiji la Dar es Salaam( DMDP), Edward Haule wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili ya matumizi mabaya ya madaraka.

Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Agosti 20, 2021 na kusomewa kesi ya uhujumu uchumi na jopo la mawakili watatu waandamizi wa Serikali wakiongozwa na Mshanga Mkunde mbele ye hakimu mkazi mwandamizi, Evodia Kyaruzi.

Chanzo Mwanachi Online.

Pia soma:

1). Mkurugenzi TEMEKE naye akamatwe na ahojiwe

2). Wito: ITV isusie kutangaza taarifa zote za Manispaa ya Temeke mpaka pale DED Mwakabibi atakapotimuliwa

3). Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara

4). Ummy Mwalimu awatumbua Mkurugenzi wa Temeke (Mwakabibi) na Mkurugenzi wa Sumbawanga (Msemakweli)

5). Waziri Mkuu Majaliwa, aagiza Lusubilo Mwakibibi kufikishwa Mahakamani
 
Salaam Wakuu,

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Temeke Lusubilo Mwakabibi na wenzake Wanne ambayo majina sijayapata, Wamefikishwa Mahakamani Kisutu asubuhi hii.

Hatua hii imekuja baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutoa siku nne kwa TAKUKURU kumfika Mwakabibi Mahakamani ajibu Mashitaka yanayomkabiri. Yupo na Mchina mmoja.

Katika ziara yake ya Jumapili 15 Agosti 2021 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hakuridhishwa na gharama za ujenzi wa miradi ukiwemo ujenzi wa barabara za Kijichi-Mwanamtoti yenye urefu wa kilometa 1.8 iliyogharimu Sh bilioni 5.4 na barabara ya Kijichi-Toangoma yenye urefu wa kilometa 3.25 iliyogharimu Sh bilioni 13.5.

Majaliwa aliigiza Takukuru kuwafikisha mahakamani waliohusika na ubadhirifu wa fedha hizo na viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke waliohusika kukopa Sh bilioni 19 kwa ajili ya ulipaji fidia ujenzi wa miradi.

Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Temeke, Donasian Kessy aliwataja watuhumiwa wengine kuwa ni aliyekuwa msimamizi wa miradi hiyo ya DMDP aliyemtaja kwa jina moja tu la Edward, mhandisi wa mradi na waliokuwa wanamshauri Mkurugenzi.

Wakisomewa Mashitaka nitawapa Update Mashitaka Waliyosomewa. Kama namuona akikaa Chumba Kimoja na Mbowe Korokoroni.

MY TAKE:
Wanasiasa Nawaasa tendeni haki, kuna leo na kesho.

Pia soma:

1). Mkurugenzi TEMEKE naye akamatwe na ahojiwe

2). Wito: ITV isusie kutangaza taarifa zote za Manispaa ya Temeke mpaka pale DED Mwakabibi atakapotimuliwa

3). Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara

4). Ummy Mwalimu awatumbua Mkurugenzi wa Temeke (Mwakabibi) na Mkurugenzi wa Sumbawanga (Msemakweli)

5). Waziri Mkuu Majaliwa, aagiza Lusubilo Mwakibibi kufikishwa Mahakamani
Huyo mkurugenzi ni moja ya masalia ya team sukuma gang
 
Uwepo wa madaraja pia huchangia gharama za ujenzi wa bara bara kutofautiana. Daraja pekee linaweza kutumia bilioni 20 kulijenga kama mto ni mkubwa. Nadhani Takukuru wadelegate hili jukumu kwa watu wa PPRA na External auditors kuchunguza kama kuna ubadhirifu kabla kesi haijaendelea mahakamani.
 
Salaam Wakuu,

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Temeke Lusubilo Mwakabibi na wenzake Wanne ambayo majina sijayapata, Wamefikishwa Mahakamani Kisutu asubuhi hii.

Hatua hii imekuja baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutoa siku nne kwa TAKUKURU kumfika Mwakabibi Mahakamani ajibu Mashitaka yanayomkabiri. Yupo na Mchina mmoja.

Katika ziara yake ya Jumapili 15 Agosti 2021 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hakuridhishwa na gharama za ujenzi wa miradi ukiwemo ujenzi wa barabara za Kijichi-Mwanamtoti yenye urefu wa kilometa 1.8 iliyogharimu Sh bilioni 5.4 na barabara ya Kijichi-Toangoma yenye urefu wa kilometa 3.25 iliyogharimu Sh bilioni 13.5.

Majaliwa aliigiza Takukuru kuwafikisha mahakamani waliohusika na ubadhirifu wa fedha hizo na viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke waliohusika kukopa Sh bilioni 19 kwa ajili ya ulipaji fidia ujenzi wa miradi.

Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Temeke, Donasian Kessy aliwataja watuhumiwa wengine kuwa ni aliyekuwa msimamizi wa miradi hiyo ya DMDP aliyemtaja kwa jina moja tu la Edward, mhandisi wa mradi na waliokuwa wanamshauri Mkurugenzi.

Wakisomewa Mashitaka nitawapa Update Mashitaka Waliyosomewa. Kama namuona akikaa Chumba Kimoja na Mbowe Korokoroni.

MY TAKE:
Wanasiasa Nawaasa tendeni haki, kuna leo na kesho.

Pia soma:

1). Mkurugenzi TEMEKE naye akamatwe na ahojiwe

2). Wito: ITV isusie kutangaza taarifa zote za Manispaa ya Temeke mpaka pale DED Mwakabibi atakapotimuliwa

3). Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara

4). Ummy Mwalimu awatumbua Mkurugenzi wa Temeke (Mwakabibi) na Mkurugenzi wa Sumbawanga (Msemakweli)

5). Waziri Mkuu Majaliwa, aagiza Lusubilo Mwakibibi kufikishwa Mahakamani
TAKUKURU walipewa maandishi? Au maandishi ni kwa Dorothy tu!!!!
 
Mikwara tu! Mwisho wa siku kesi inaisha kimya kimya. Ccm kulindana ni sehemu ya kanuni zao za utendaji wao wa kila siku.
Nashanga wadau humu
Wanashangilia...wkt kesi hzo mwishowe
Nganjaaaa...

Ova
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi na mratibu wa mradi wa uendelezaji Jiji la Dar es Salaam( DMDP), Edward Haule wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili ya matumizi mabaya ya madaraka.

Chanzo; Mwananchi
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi na mratibu wa mradi wa uendelezaji Jiji la Dar es Salaam( DMDP), Edward Haule wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili ya matumizi mabaya ya madaraka.
Maigizo au kesi ya ukweli?

Kuna mwananchi kule walipitisha barabara kwenye kiwanja chake alichonunua Wizarani hawajampa fidia mpaka kesho....

Mwakabibi aliendesha upimaji juu ya viwanja vya NSSF.....

Walishirikiana na Diwani wa Toangoma kuhamisha mradi wa makazi bora wa DMDP kutoka Vikunai kupeleka eneo lililopimwa la serikali.

Nauliza serikali ipo serious au inatutega?
 
Maigizo au kesi ya ukweli?

Kuna mwananchi kule walipitisha barabara kwenye kiwanja chake alichonunua Wizarani hawajampa fidia mpaka kesho....

Mwakabibi aliendesha upimaji juu ya viwanja vya NSSF.....

Walishirikiana na Diwani wa Toangoma kuhamisha mradi wa makazi bora wa DMDP kutoka Vikunai kupeleka eneo lililopimwa la serikali.

Nauliza serikali ipo serious au inatutega?
CCM sidhan kuna msafi hata mmoja,wote wapiga dili tu
 
Huyu jamaa kipindi Magu alitamba sana kwa mambo ya hovyo na watu kumlalamikia...lkn hakufanywa kitu alikuwa mtoto pendwa...
 
Back
Top Bottom