Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah
Sijaona sababu ya kukimbilia kutoa taarifa ambayo haijakamilikaWakuu,
TAKUKURU kwa kushirikiana na DPP mchana huu wanatarajia kumfungulia kesi mhasibu wa moja ya ubalozi wa Tanzania nje ya nchi.
Bado jina la Mtuhumiwa na Ubalozi anaofanyia kazi haujawekwa wazi.
Stay tuned.
Alikuwa afe tu, +81 !?Msitutanie, msitupoteze kwenye lengo kuu, mmesababisha kifo cha mama wa watu, amekufa kwa mateso siku zote akipigania uhai wake huku akimkumbuka mtoto wake, Mungu alieziumba mbingu na nchi atawahukumu, alishasema visasi ni kwa ajili yake tumuachie, na tumeshamuachia.
Huu ni msiba wa kitaifa, umewagusa wote wenye mapenzi mema, Mungu amlaze mama wa watu mahali pema.
Sent using Jamii Forums mobile app