Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
KUMEKUWEPO NA UBISHANI MKUBWA KUHUSU MATUMIZI YA KIINGELEZA KAMA LUGHA YA KUFUNDISHIA BADALA YA KISWAHILI.
nini maoni yako?
Zingatia
1.kiingeleza kinadaiwa kuchangia matokeo haya mabaya ya sekondari
2.kiingeleza hakieleweki kwa wanafunzi wengi
3.ufaulu wa somo la kiswahili fm 4 ni D kwa wanafunzi wengi.
4.shule ya msingi pia hatufanyi vizuri japo tunatumia kiswahili
5.zamani kiingeleza hakikuwa tatizo kwa wanafunzi na walifanya vizuri sana
6.wapo wanafunzi watanzania waliosoma kozi ya miezi 6 ama 12 na kuelewa lugha za kirusi,kichina,kijerumani na walitumia lugha hizo kufundishiwa na hawakusumbuka.
JE TATIZO NI LUGHA ama TATIZO NI KUWAFANYA WANAFUNZI WAIELEWE LUGHA YOYOTE WANAYOFUNDISHWA?
nini maoni yako?
Zingatia
1.kiingeleza kinadaiwa kuchangia matokeo haya mabaya ya sekondari
2.kiingeleza hakieleweki kwa wanafunzi wengi
3.ufaulu wa somo la kiswahili fm 4 ni D kwa wanafunzi wengi.
4.shule ya msingi pia hatufanyi vizuri japo tunatumia kiswahili
5.zamani kiingeleza hakikuwa tatizo kwa wanafunzi na walifanya vizuri sana
6.wapo wanafunzi watanzania waliosoma kozi ya miezi 6 ama 12 na kuelewa lugha za kirusi,kichina,kijerumani na walitumia lugha hizo kufundishiwa na hawakusumbuka.
JE TATIZO NI LUGHA ama TATIZO NI KUWAFANYA WANAFUNZI WAIELEWE LUGHA YOYOTE WANAYOFUNDISHWA?