Kiswahili cha kenya ni shida,,,,,,

Wewe ndiye unatatizo. Kubandua ni kuondoa kitu kutoka mahala kilipoganda. Tatizo lilko wapi?
Kwahiyo mtaalam mtu akikwambia anataka kubandua marinda yako anamaanisha nini?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sawa bwana.
Usiku nimekuomba kukuuliza, umenikaushia [emoji18] [emoji18] [emoji18]
Ukikuta nishaondoka, leo uniulize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…