Kiswahili cha Kenya


hehehehehe.....ww utakuwa mutz!
 
Hehehehe niko na beste yangu,
''hebu ongea basi nipange masiku tuje kukulana!!!joo najua hata manzi yangu ile ya mwisho niliompanda ,alinipa sifa kede kede!!!!''
Lol hata kama upo in a romantic mood inakata KAT!!!!
Af wanajionaga wanajua swahili kuliko wabongo!
 

kama komedi vile,,,,,hata hawajui.
 

Mbona unawachongoa macharlie wa westiii
 
La Ajabu zaidi hao waKenye ndiyo waalimu wa lugha ya kiswahili around the world ( kwenye viyuoo vingi huko majuu ) wanafanya Excellent job spreading swahili.
 
Ngai fwa fwa, nakuambia madhee acha kucheza na wa k! Me nilikuambia nitakoshow ile house kama ikikam tumorrow! A
 
Hawa wananiharibia lugha yangu kwa kweli,halafu hicho ni kiswahili au ni vilugha vya kule kwao?
Nalog off
 
Hapo sijambulia kitu au hiyo ni Sheng'

Kiswahili cha kenya = Nipe Maandazi Mbili

Unajua kuna sentensi zingine kenya wako sahihi kuliko sisi watanzania. kwa mfano nipe maandazi mbili ni sahihi kuliko kusema nipe maandazi mawili.....jiulize silabi 'ma' inafanya nini kwenye namba 'mbili' kwanini hatusemi nipe maandazi....masita, masaba au maandazi makumi. Kiufupi namba katika sentesi inatakiwa ijitegemee bila kiambishi awali chochote. Mfano tunatakiwa tuseme ' nipe maandazi mbili....au tatu....au nne.....au tano au sita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…