Kiswahili cha neno density

Kiswahili sahihi ni ONESHA toka kwenye mzizi ONA.Sema tu watu hua tunaigeuzageuza hii lugha yetu adhimu mkuu
hawa ndiyo watu watakaokupokea,hii sentesi ipo sahihi??? sahihi ni ndio/ndiyo
 
Huyu ambaye huwa anatunga maneno ya kisayansi ya kiswahili ndiye anayefanya kiswahili kishindwe kuwa lugha ya kufundishia, unajitungia neno gumu na lisilozoeleka tena zaidi ya lile la kizungu?
 
Huyu ambaye huwa anatunga maneno ya kisayansi ya kiswahili ndiye anayefanya kiswahili kishindwe kuwa lugha ya kufundishia, unajitungia neno gumu na lisilozoeleka tena zaidi ya lile la kizungu?
Kweli mkuu.

Force kwa kiswahili ni Kani,concave na convex lens zinaitwa lenzi mbinuko na lenzi mbonyeo,Laptop ni kidadavuzi mpakato.
 
Kweli mkuu.

Force kwa kiswahili ni Kani,concave na convex lens zinaitwa lenzi mbinuko na lenzi mbonyeo,Laptop ni kidadavuzi mpakato.

1.Kani eneo la hewa = Air resistance

2. Umbijani= chlorophil

3.Bubujiko mashapo =aina za miamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…