Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
namba 1 na 2 ni fasaha
Kwa pwani sawa.
Mwalimu wangu wa kiswahili toka bara alifudisha:
kuahirishwa ina maana kitendo kitatekelezwa muda mwingine ujao.
kughairi ina maana kubadili mawazo na kitendo kinaweza kisitelelezwe.
kwa kimombo kuahirisha ni definitive ilhali kughairisha sipo.