Mtu ambae mmeoa katika familia moja, we umeoa mkubwa yeye kaoa mdogo unamuitaje? Mume mwenza
Mke wa mjomba ni sahihi kumuita shangazi? Si sahihi........muite Mama Shangazi
Mume wa shangazi unamuitaje? Baba Shangazi
Baba yangu anamuitaje baba mkwe/mama mkwe wangu? Kivyele