Mwana Chinchilla
Member
- Jan 5, 2011
- 25
- 3
Habar wana JF. Ulishawahi kujiuliza sifa za lugha Yoyote Maarufu Duniani? Au Ili lugha iweze kuwa Maarufu, wajua moja ya sifa!? Ntazungumzia KipengEle kimoja tu cha Kujitosheleza Kimsamiati na Maneno. Tuchukulie mfano wa Lugha kama Kiingereza. Wenzetu hawa neno Moja linakuwa na Mbadala wa Maneno mengine ya ziada. Wao huita "Synonyms" Mfano Happy/Joyful/Elated. Sasa basi shughuli inakuja kwenye Upande wa Kiswahili. Kama hata neno moja halipo hiyo synonym itAtoka Wapi!? Hivi ni kweli Lugha yetu inakosa Neno kwa ajili Mtoto wa Mbuzi!? Sasa ukiulizwa synonym ya Mtoto wa Mbuzi sijui itakuwaje kama hata hilo Neno Moja tu lenyewe halipo. Embu tuchangie hapa jamani. Jina halisi kwa kiswahil fasaha kwa ajili ya Mtoto wa Mbuzi kama ilivyo kwa Ndama.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums