Kiswahili kwa mkurya ni janga,ebu ona hii ya msibani Tarime!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
933
KISWAHILI KILIVYOTATIZA MSIBANI TARIME:
Ndugu Sangu tumekucha hapa Maarum kwa chambo mocha tu. Mama Rhobi AMEFIRWA na kaka yake usiku wa kuamkia reo. Chambo ra kufirwa si ra mcheso, na sio ra mtu mmocha mmocha. Reo kafirwa mama Rhobi,
kesho ntafirwa mimi, kesho kutwa Utafirwa wewe mama Bhoke.
Kira mtu Rasima Afirwe, sasa Chambo la kushaangasa tokea chana tume pewa UCHI wa Moto na KIBORO cha chana cha Wari! CHEZEA WAKURYA WEE UTAVUNJIKA MBAVU.
 
haaaaaaaaaaa chamaniiiii uchi wa moto....duuuh
 
Oyaaa! Hebu fikiria maneno yako b4 ujapost! Sio full kunyanyuka na maneno yasiyo na point! Heshima ni kitu kizuri sana!
 
Oyaaa! Hebu fikiria maneno yako b4 ujapost! Sio full kunyanyuka na maneno yasiyo na point! Heshima ni kitu kizuri sana!

Join Date 21st September 2014
Last Activity Today 20:37
Avatar
 
ahahahahaaaaaaaaaaa!!!!
 
oyaaa! Hebu fikiria maneno yako b4 ujapost! Sio full kunyanyuka na maneno yasiyo na point! Heshima ni kitu kizuri sana!
we paka shume,hivi unajua hii post ipo jukwaa gani au unakuja kama mtu aliyefumaniwa chooni????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…