mam victor
Member
- Aug 1, 2012
- 9
- 1
nani arikudanganya hvo,mhaya je? Hebu tutokee hapa,rione ririsha rinu.Tuambie kwanza wewe ni kabila gani, japo tunajua mkani wa mkurya ni MNYIRAMBA TU, ndie mwenye kibari hicho cha kuwatania, je wewe ni mnyiramba ? ? ? ili wakupe vidande vyako
mwingine alikunywa uji uliopikwa na Mama Robhi ulikuwa mtamu lakini wa moto ndipo akaanza kuusifia akasema:
Uchi wa mama Robhi wa moto harafu ni mutamu chamani.....................
nani arikudanganya hvo,mhaya je? Hebu tutokee hapa,rione ririsha rinu.
Nadhani watu wengi hawalielewi hili, WAHAYA kwao BUKOBA wanajuwa wanataniana na watu wa mkoa wa MARA wote, Hii siyo kweli kabisa ni kweli kabisa MHAYA mtani wake ni MJALUO, jaribu kuuliza wazee wa zamani waliopo watakuhadithia hilo na sio Kabisa MKURYA, Kwa culture ilivyo ya kikurya Mhaya asingeweza kumkaribia mkurya hata kidogo hapo zamani kwa sababu moja kuu kuwa ni MRISSYA ilikuwa mwiko hata kukaa pamoja, Kwa hiyo MHAYA anataniana na MRISSYA mwenzie MJALUO, Wazazi wanasema mtani wa mkurya ni MNYIRAMBA TUUUUU... Tafadhali nisieleweke vibaya ni kwa mujibu wa historia ya kale..
mwingine alikunywa uji uliopikwa na Mama Robhi ulikuwa mtamu lakini wa moto ndipo akaanza kuusifia akasema:
Uchi wa mama Robhi wa moto harafu ni mutamu chamani.....................
Awari ya yote mh. Mkuu wa wiraya, nakupa pole za zati kwa kufirwa na mtoto wako wa kiume , mpaka ikakuperekea kuharisha mkutano wetu uliopita.
ha ha haChadtema ina mupango wa kuongesa machimbo .