Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Alisoma udsm na anaishi Mombasa. Angeishi nai angekisahau kiswahili21 Oct 2018
Nairobi, Kenya
Wengi hushangazwa na namna anavyotumia lugha ya Kiswahili katika hafla anazohudhuria. Balozi wa Japan humu nchini Toshitsugu Uesawa ana enzi lugha ya Kiswahili licha yake kujifunza miaka 40 iliyopita akiwa mwanafunzi Chuo Kikuu cha UDSM Tanzania .
Mwanahabari wetu Gatete Njoroge alizungumza na balozi Uesawa kuhusu mapenzi yake ya lugha ya Kiswahili aliyojifunza Tanzania na ushirikiano baina ya Kenya na Japan.
Source : Kenya Citizen TV
Kiswahili kimenyooka vizuri aisee.Nairobi, Kenya
Balozi Remi Marechaux wa nchi ya Ufaransa ni zao lingine la wanafunzi wa kigeni waliojifunza Kiswahili nchini Tanzania
Hapa Mh. Balozi Remi Marechaux akizungumza wakati alipotembelea mtaa maarufu wa mabanda wa Kibera ulio mwendo mfupi kabisa toka katikati ya jiji la Nairobi.
Ati she is straining? That the most coolest speech ever. No Kenyan can speak like that!Wow!it's Nice although she's straining to talk. Kiswahili ni kitamu