Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
Kuna wakati uwa nahisi labda kiswahili kina upungufu wa maneno,ingawa kuna nyakati zingine uwa nagundua ni uchovu wangu tu katika kuifahamu lugha hii adhimu ndo unanisumbua ila kiswahili kuna uwezekano kikawa kimekamilika.
Kwa sasa nina tatizo la kiswahili kutumia vitu katika kueleza aina za rangi.Hii inanipa shida kwa kuhisi inawezekana kiswahili hakina maneno ya kuelezea rangi hizi.Mfano rangi ya zambarau,rangi ya damu ya mzee,rangi ya kijivu.Kama kuna mtu anajua maneno yanayotambulisha rangi hizi,tafadhari naomba unielimishe.
Asanteni sana wakuu,kwa kunitoa tongotongo,mana kama ningeenda na kuanza kubishana mbele za watu ndo nilikuwa naumbuka mtu mzima.Mbarikiwe sana
Mkuu, siku zote uhitaji kubishana kwa kitu ambacho huna uhakika nacho. Pia sidhani kama ubishani ni sehemu ya kujua vitu. Uliza tu jibu linapatikana kirahisi sana. Ikishindikana nenda google. Tena hapo mnaweza kujadili na si kubishana
Kuna wakati uwa nahisi labda kiswahili kina upungufu wa maneno,ingawa kuna nyakati zingine uwa nagundua ni uchovu wangu tu katika kuifahamu lugha hii adhimu ndo unanisumbua ila kiswahili kuna uwezekano kikawa kimekamilika.
Kwa sasa nina tatizo la kiswahili kutumia vitu katika kueleza aina za rangi.Hii inanipa shida kwa kuhisi inawezekana kiswahili hakina maneno ya kuelezea rangi hizi.Mfano rangi ya zambarau,rangi ya damu ya mzee,rangi ya kijivu.Kama kuna mtu anajua maneno yanayotambulisha rangi hizi,tafadhari naomba unielimishe.
Mkuu, siku zote uhitaji kubishana kwa kitu ambacho huna uhakika nacho. Pia sidhani kama ubishani ni sehemu ya kujua vitu. Uliza tu jibu linapatikana kirahisi sana. Ikishindikana nenda google. Tena hapo mnaweza kujadili na si kubishana