Kiswahili ni bidhaa: Je wafahamu?

Kiswahili ni bidhaa: Je wafahamu?

nyiondo

Senior Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
149
Reaction score
24
Kitabu cha Kiswahili 'Bidhaa Adimu: Jiajiri' sasa kimeshachapishwa Dar es Salaam na kitaanza kupatikana madukani hivi karibuni. Ukisoma kitabu hiki wewe mwenyewe utachukua hatua ya kujiajiri au utatengeneza ajira kwa wengine. Nitawajuza namba za simu za muuzaji au mahali ambapo kinapatikana. HIMA, INUKA MTANZANIA...KITEGA UCHUMI UNACHO ...JIAJIRI SASA.
 
imeingia kwenye tunu za Taifa kwenye Katiba mpya
 
Back
Top Bottom