Pia kuna hii:
Enzi zile wanaTANU walikisifia na kukipongeza chama chao kwa kuleta uhuru.Wakaanza kuwaza: kama TANU haingekuwepo wangeendelea kuwa watumwa wa mkoloni. Hivyo, wakaandika kwenye mabango: KAMA SI TANU TUNGEKUWA WAPI?
Kwa haraka iko hivi: KAMASI TANU TUNGEKUWA WAPI?