Kiswahili: Siri ya Tanzania kushinda Corona

Kiswahili: Siri ya Tanzania kushinda Corona

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Nimekaa na kutafakari kwa kina tunu ya lugha yetu hii ya Kiswahili.

Kiswahili kilitumika katika kuleta uhuru wa Tanganyika na Zanzibar.

Kiswahili kilitumika kuunganisha makabila zaidi ya 120 yaliyopo Tanzania.

Kiswahili kilitumika kumng'oa Nduli Idd Amini Dadaa, alipojaribu kuivamia Tanzania.

Kamuzu Banda wa Malawi naye alijaribu kumega kipande cha kusini mwa Tanzania lakini alishindwa.

Mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalifanikiwa kwa sababu ya lugha hii adhimu ya kiswahili.

Kiswahili kimekuwa lugha ya umoja, ukombozi na silaha dhidi ya adui.

Katika mapambano ya gonjwa hili la Corona, gonjwa ambalo linadidimiza uchumi wa nchi zetu za uchumi wa kati. Lengo kubwa la gonjwa hili ni kuhakikisha ukoloni mambo leo unaendelea. Kuzifanya nchi changa ziendelee kuwa tegemezi huku watu wachache wakifaidi.

Kiswahili kimeibuka kidedea baada ya kutumika inavyotakiwa ili kufikisha ujumbe kwa jamii ya Waswahili na kuwaunganisha pamoja.

Siri hii ni kubwa mno wengi hawajui nguvu ya maamuzi, yakisukumwa na lugha ya Kiswahili.

Tukitunze na tukipende. Majirani siri kubwa ya kuweza kuondokana na janga hili, mwambieni kiongozi wenu mkuu aanze kuwasiliana na watu wake kwa kutumia Kiswahili.
 
Siri ya kuimaliza korona ni kuipuuza tu
 
Katika mapambano mengi Tanzania imeibuka kidedea.

Katika vita hii ya uchumi, nchi nyingi zinajaribu kwa kutumia mbinu nyingi.

Kiswahili kinazidi kuchanja mbuga.
Lugha hii ni adhimu.
 
Umeandika upupu!
Ndio. Huu upupu unawaumiza sana kwa wale wenye chuki na adui wa taifa letu la Tanzania.
Huu upupu unawasha sana mpaka kwenye moyo. Mtu asiyelitakia mema taifa hili atashindwa.
 
Utasema hivyo ila kuna wengi wasio na kinga imara za mwili hawawezi kustahimili homa hii inayoketakero kubwa kwenye mwili
Magonjwa yote kama huna kinga imara yanakupeleka.
Kupiga nyungu ni hatua muhimu sana. Inasaidia mno.
 
Nimekaa na kutafakari kwa kina tunu ya lugha yetu hii ya Kiswahili.

Kiswahili kilitumika katika kuleta uhuru wa Tanganyika na Zanzibar.

Kiswahili kilitumika kuunganisha makabila zaidi ya 120 yaliyopo Tanzania.

Kiswahili kilitumika kumng'oa Nduli Idd Amini Dadaa, alipojaribu kuivamia Tanzania.

Kamuzu Banda wa Malawi naye alijaribu kumega kipande cha kusini mwa Tanzania lakini alishindwa.

Mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalifanikiwa kwa sababu ya lugha hii adhimu ya kiswahili.

Kiswahili kimekuwa lugha ya umoja, ukombozi na silaha dhidi ya adui.

Katika mapambano ya gonjwa hili la Corona, gonjwa ambalo linadidimiza uchumi wa nchi zetu za uchumi wa kati. Lengo kubwa la gonjwa hili ni kuhakikisha ukoloni mambo leo unaendelea. Kuzifanya nchi changa ziendelee kuwa tegemezi huku watu wachache wakifaidi.

Kiswahili kimeibuka kidedea baada ya kutumika inavyotakiwa ili kufikisha ujumbe kwa jamii ya Waswahili na kuwaunganisha pamoja.

Siri hii ni kubwa mno wengi hawajui nguvu ya maamuzi, yakisukumwa na lugha ya Kiswahili.

Tukitunze na tukipende. Majirani siri kubwa ya kuweza kuondokana na janga hili, mwambieni kiongozi wenu mkuu aanze kuwasiliana na watu wake kwa kutumia Kiswahili.
Nashukuru kumtukuza mwana Kiswahili aliyezaliwa na MWAARABU... hakika baba ni member hata awasimeshe wanae vipi.. watoto wakikuwa hawatkumtukuza!! Ni kama Scraper ikishachonga Barbara huzuiwa kutumia Barbara hiyo...!!!
Hongera kwa kijana kiswahili...
 
Nashukuru kumtukuza mwana Kiswahili aliyezaliwa na MWAARABU... hakika baba ni member hata awasimeshe wanae vipi.. watoto wakikuwa hawatkumtukuza!! Ni kama Scraper ikishachonga Barbara huzuiwa kutumia Barbara hiyo...!!!
Hongera kwa kijana kiswahili...
Sijaelewa uliposema mswahili aliyezaliwa mwarabu
 
Hongera zenu, ila wenzenu wengine wote nao ni wapumbavu kupindukia. Yaani wanakesha kwenye maabara wakitafuta tiba na chanjo ya Corona wakati jibu lipo kwenye kurasa la kamusi ya kiswahili.
 
Back
Top Bottom