Kiswahili v/s Kiarabu

Kiswahili v/s Kiarabu

Ngongoseke

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
3,202
Reaction score
1,462
Habari zenu wanajamii,najua hili ni jukwaa la waungwana naomba kuelimishwa kuhusu hili,kati ya lugha ya kiarabu na kiswahili ni ipi imecopy maneno kutoka lugha nyingne maana nimegundua lugha hizi mbili zinaingiliana kwa maneno mengi sana tena yakiwa na maana 1,ntatoa mfano baadhi tu ya maneno,au majina ya vitu,
1,Dirisha,Dirsha,
2,Karatasi,Kartasi
3,Debe,Dabba,
4,Shukrani,Shukran
5,Ahsante, Ahsante
6,Samaki, Samak
7,Yaani, yaani
8,Mustakbali-mustakbal
9,Lugha, lugha,
10,Madarasa,Madrasa,
Na mengine mengi japo siwezi kuyaandika yte,hebu wajuzi nijuzeni lugha ipi imecopy kwa mwenzie,pls hili ni jukwaa la lugha kabla hujachangia naomba ufaham hilo,kama huna cha kuchangia pia ni busara kukaa kimya,nawasilisha
 
Lugha ni kama globalisation process, maneno mengi mapya uingia katika lugha iwapo jamii geni ikiingia ktk nyeji. Hili waarabu kuweza kujielezea iliwabidi wakati mwingine watumie maneno yao na kama hawali hakukua na universal understanding ya hilo neno katika jamii, the big chances ni kuwa hilo litaingizwa katika vocabulary.


Mfano hai tazama hayo maneno ya kiarabu uliyoyaweka hapo juu mengi ni vitu ambavyo havikuweko wakati wa ujio wa mwarabu (najua tulikuwa na samaki majini maana watu wengine humu), kwa maana hiyo kuvitambulisha vile vilivyokuwa kwao ktk jamii yetu iliwalazimu kutumia lugha yao.


Ni swali zuri sana mkuu na lenye lengo la kutaka kujua ni asilimia ngapi ya lugha yetu ina kiarabu, kidhungu, kijerumani na kiindi, since hizi lugha zimeanza zamani swala la msingi tukishatoa makupe ya lugha geni ambazo kuu ni hizo nne. Tunabaki na asilimia ngapi yenye maneno ya kibantu na kilugha kipi cha kibantu kimechangia kwa maneno mengi.


Hapo yatafuata masuala mengi sana mfano kwanini kilugha flani kimeweza changia maneno mengi hiwapo zama hizo kulikuwa na mapori (what were the causes of assimilations: trades, wars and invasions, kingdoms....). Ni maswala na maswali meeengi mno na yatakayotuwezesha ichamuba historia yetu kupitia lugha. Mfano 'umlungu' lina maana ya kuwa ni 'mzungu' in Afriikanas. Sasa tujiulize since the white settlers started from the south in sub-sahara afrika, how did the world mzungu appeared in swahili ni maswali meengi ya kjitambua kutumia lugha matter of fact mzungu anatumia lugha kama hitimisho la kujitambulisha ualisia wake na haki zake pale halipo si ajabu wanaona sasa bora tu wajiunge kiukweli kweli kama watu wamoja.

Sisi bado atuna tools nyingi za ku-emmbed patriotism katika jamii, na lugha nadhani would be a good starting point.OOOooops am i off topic or somen?
 
Back
Top Bottom