Kiswahili wakati mwingine kinatuchanganya sana

Kiswahili wakati mwingine kinatuchanganya sana

Yote ni sawa kwa sababu mke wa mjomba hadhi yake ni sawa na dada wa baba. Wote ni shangazi
 
Yote ni sawa kwa sababu mke wa mjomba hadhi yake ni sawa na dada wa baba. Wote ni shangazi
maana nimemuita mke wa mjonga angu shangazi , nikaonekana kitu au kila kabila na utamaduni wake?
 
Wataalam wa kiswahili, anayejua maana ya maneno haya atupe maana

SHANGAZI ni nani?

(¡) Mke wa mjomba
(¡) Dada au mdogo wake baba
"Mkaza mjomba" huku kwetu unasomeka saafi kabisa.
 
Yote ni sawa. Na ukienda kwenye kizungu Aunt unamuita hata ma mdogo au ma mkubwa(mdogo na dada yake mama)
 
SHANGAZI ni nani?
Shangazi wa asili ni dada au mdogo wa kike wa baba yako.

Ama kuhusu mke wa mjomba kuwa shangazi ni kwa sababu kila utakayemuita jina basi anaangaliwa na mwenza wake utamuitaje pia.
 
Back
Top Bottom