1.kamusi wahidiya ni aina ya kamusi inaumia lugha moja kutoa maana/maelezo/ufafanuzi wa neno
2.rejesta ni lugha inayotumika katika muktadha maalumu
3.lahaja(sio rahaja)ni mfumo wa lugha ambao hutofautisha mtumiaji au watumiaji wa lugha kimatamshi,kimuundo n.k