Kiswahili

MAYOUB

Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
13
Reaction score
3
Naomba ufafanuzi wa maneno yafuatayo:
1.kamusi wahidiya
2.rejesta
3.misemo
4. Rahaja
5. Lugha ya mazungumzo
 
1.kamusi wahidiya ni aina ya kamusi inaumia lugha moja kutoa maana/maelezo/ufafanuzi wa neno
2.rejesta ni lugha inayotumika katika muktadha maalumu
3.lahaja(sio rahaja)ni mfumo wa lugha ambao hutofautisha mtumiaji au watumiaji wa lugha kimatamshi,kimuundo n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…