Kitaa, Uwezeshwaji wenye riba ya 4% kwa mwezi, unaweza kutoboa?

Kitaa, Uwezeshwaji wenye riba ya 4% kwa mwezi, unaweza kutoboa?

Developer

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
503
Reaction score
701
Habarini wakuu,

Ikitokea mtu amekupa mtaji labda wa shilingi millioni arobaini za kitanzania. Akataka kila mwezi katika kila millioni moja uumpe faida ya shilingi elfu arobaini ina maana kwa millioni arobaini umpatie millioni moja na laki sita kila mwezi ili hali millioni arobaini yake iko palepale. Je unaweza kufanikiwaje na wewe ufaidike?
 
Yes naweza milioni 40, nitanunua mashine 2 (Kuhusu machine za nini sisemi hapa) moja kwa 15M *2 =30M
Milioni 5 zitatosha installation fees 5 iliyobaki nanunua bond za 15.4%

Mapato
Machine hizi kwa siku 100,000*2=200,000
Kwa mwezi 200,000*30=6,000,0000
Gharama za uendeshaji kwa mwezi
Operator =250,000
Matumizi kwa mwezi 450,000/=
Mengineyo =350,000
Kila mwezi utakuwa na 5M safi kabisa!!

KWAHIYO INAWEZEKANA
 
Kumbe maisha ndiyo marahisi hivi.!Ngoja nijitahidi kufumbua fumbo la mashine ni za nini hasa.?
Siyo rahisi mkuu, kupata M15 unaona rahisi? Kulipa mtu 250,000 ,matumizi ya 1M unaona rahisi?? Ila hizi mashine return yake ni nzuri kuliko wanaowekeza kwenye bodaboda au bajaji kila moja itakupa 3M kwa mwezi ukitoa matumizi hukosi 1.3-1.8 hivi
 
Yes naweza milioni 40, nitanunua mashine 2 (Kuhusu machine za nini sisemi hapa) moja kwa 15M *2 =30M
Milioni 5 zitatosha installation fees 5 iliyobaki nanunua bond za 15.4%...
Analysis nzuri hasa, japokuwa changamoto ni kwamba mkataba wenu ni wa mwaka mmoja kwa hiyo kila mwezi unatakiwa uumpe 1.6M, na uendelee kuretain 40M yake.

Ukifanya kama hivyo sasa itakubidi kwanza utoe 1.6M kama faida yake halafu utoe 3.33M nyingine kila mwezi kurudisha mtaji wake ili mwisho wa mwaka pia uwe na 40M yake. Hii inaamanisha hiyo 5M yote unayouzalisha itakuwa siyo yako.

Kwa hiyo wewe inabidi uwe na vyanzo vingine vya mapato vya kukufanya uishi ili baada ya huo mwaka uwe umepata machine mbili plus pesa uliyoweka bond 5M.
 
Yes naweza milioni 40, nitanunua mashine 2 (Kuhusu machine za nini sisemi hapa) moja kwa 15M *2 =30M
Milioni 5 zitatosha installation fees 5 iliyobaki nanunua bond za 15.4%...
Humesi machine ili tuje PM utupige. Ila sio mbaya kwanini usiende kukopa hiyo 40M ila ufungue. Andika proposal yako uipeleke kwa maboss wakupe hela
 
Siyo rahisi mkuu, kupata M15 unaona rahisi? Kulipa mtu 250,000 ,matumizi ya 1M unaona rahisi?? Ila hizi mashine return yake ni nzuri kuliko wanaowekeza kwenye bodaboda au bajaji kila moja itakupa 3M kwa mwezi ukitoa matumizi hukosi 1.3-1.8 hivi
Kaka hizo mashine kaka dah, fungua fumbo.
 
Habarini wakuu,

Ikitokea mtu amekupa mtaji labda wa shilingi millioni arobaini za kitanzania. Akataka kila mwezi katika kila millioni moja uumpe faida ya shilingi elfu arobaini ina maana kwa millioni arobaini umpatie millioni moja na laki sita kila mwezi ili hali millioni arobaini yake iko palepale. Je unaweza kufanikiwaje na wewe ufaidike?
Ni umasikini tu..uwakala wa kimasikini..km vipi aweke mil 400 benk apokee riba ya mil 10 kwa mwez nanina
 
Humesi machine ili tuje PM utupige. Ila sio mbaya kwanini usiende kukopa hiyo 40M ila ufungue. Andika proposal yako uipeleke kwa maboss wakupe hela
Ninayo moja mkuu, kuna role model wangu anazo Kama 25 natamani kufikia level zake 🙏
 
Mashine za kukoboa mpunga
😃😃😃😃JF hapa kila mtu tajiri na kila mtu mjuaji Mimi nishajifunza kitu ambacho sikijui nitauliza!! Maarifa hayapatikani bure!! Ukipata bure huwezi kukithamini
 
Haya mambo inafaa mtu uende tu Bar ukalewe kwanza, then uandike uzi ukiwa bwax ili ushauriwe mujarab..😋
 
Kama hujawahi kufanya me sikushauri hiyo m1.6 utaiyona nyingi sana, biashara sio mtaji mkubwa tu bali maarifa na uzoefu, huo ni mtego usipo angalia vizur unaweza poteza hata hiyo 40m tangulia tafiti ya kutosha na elim kabla ya kuchukua hiyo pesa
 
Back
Top Bottom