Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Wadau Mkuu wa Kambi moja ya jeshi alikua akisoma Risala na Kusema vijana hawa wamefaulu mafunzo ya Jeshi Ikiwemo Kutokulala kwa week 6.
Wakuu kitabibu hiki kitu kinawezakana? Je Mtu hawezi kuanguka kwa sababu ya Fatigue? muda huo wa week 6 huwa wanafanya nini hasa.
Wakuu kitabibu hiki kitu kinawezakana? Je Mtu hawezi kuanguka kwa sababu ya Fatigue? muda huo wa week 6 huwa wanafanya nini hasa.