Ha ha ha..ndani ya wiki sita sio siku zote unakesha "mwanzo mwinga" jicho.Kuna viepisodes vya usingizi ila vifupi sana,kama dakika kumi hadi nusu saa kwa afande mpole
Ila inawezekana mtu akamaliza wiki sita akiwa amelala muda mfupi sana na hii ndio siri ya macho mekundu ya makamanda
Na ni ukweli kuwa kuna wengine huwa wanapata psychotic disturbances kama kuwehuka kidogo ila baadae wanakuwa vizuri
Sitosahau nilipopoteza channel siku ile ya mchaka mchaka tumeondoka vizuri chenja ya F Coy tunaenda Myobozi najikuta nipo uwanja wa damu halafu sijui nimefika.....ilikua 821 KJ Kigoma