Huyo bi kidude ndio mwenye negativity na opposition sababu ya kutokujiamini. Yeye kila saa ameanza jinsia yake tuAliyempelekea hicho kitabu Mbowe amefanya jambo la heri. Mbowe ana NEGATIVITY sana na utawala wa Samia. Hivyo basi akimaliza kusoma kitamsaidia kuishi kama raia mwema
We kweli kiazi..yaani umesoma positive tu ukaoanisha na negative[emoji16]..wacha nami nikitafuteAliyempelekea hicho kitabu Mbowe amefanya jambo la heri. Mbowe ana NEGATIVITY sana na utawala wa Samia. Hivyo basi akimaliza kusoma kitamsaidia kuishi kama raia mwema
Mawazo hovyo kama akili yako ikithibitishw na avatar yako. Vima kabisa.Aliyempelekea hicho kitabu Mbowe amefanya jambo la heri. Mbowe ana NEGATIVITY sana na utawala wa Samia. Hivyo basi akimaliza kusoma kitamsaidia kuishi kama raia mwema
Atanyanyua MAKU ya Komamani vyema apigwe pingu kama wenzake. Anatumia uhuru aliopewa wa mikono yake vibaya, mara kuinua kitabu mara kuweka mikono mfukoni. Amevurugwa kwelikweli kisaikolojia. Ikiisha miaka minne gerezani kabla ya hukumu yake sijui atafika hatua ya kunyanyua nini.
Uchanga wangu na unguli wako ktk siasa za upinzan n ngumu kuthibitisha...amin unachoamin nam naamin ninachoamin...KWAN HAKUNA KITAKACHOPUNGUANinaandika ninachofahamu na nilichokiona. Wewe ni mchanga sana kwenye duru za Siasa za upinzani.
Usimfananishe Mandela na vitu vya kipumbavu , Mandela hakuiba ruzuku za chama chake na alikuwa mwenyekiti kwa muda akwachia wengine sio huyu tapeli wa kisiasa
USSR
Mbona huyo wakati hana silaha anatumia nini katika ugaidi ilitujihami
Atakua malaika kashuka kutoka mbinguniMbowe ni zaidi ya Mandela
Bibi kidude ndiyo nani?Huyo bi kidude ndio mwenye negativity na opposition sababu ya kutokujiamini. Yeye kila saa ameanza jinsia yake tu
Unaniita kiazi wakati hata kitabu hujasoma!! Kweli wewe punguaniWe kweli kiazi..yaani umesoma positive tu ukaoanisha na negative[emoji16]..wacha nami nikitafute
Kwa hiyo Mbowe ni mungu wenu? Kizazi cha laana kabisa hikiMawazo hovyo kama akili yako ikithibitishw na avatar yako. Vima kabisa.
Ya wakati wa Mandela Dunia haikua kiganjani mkuu, nakubaliKuna ukweli fulani