Kitabu cha Diva Goddes Queen kuhusu Uchawi wa Muziki wa Magharibi

Kitabu cha Diva Goddes Queen kuhusu Uchawi wa Muziki wa Magharibi

Thanks mkuu napenda sana vitabu hapa leo nasoma biography ya baba yake bush akiwa director wa CIA aisee kaiweka uchi sana serikali ya marekani na system yake ya security yani ukisoma kwa wale wanaopenda kazi ya usalama wa taifa itawapa mwanga nini huwa kinatokea huko ndani mzee hajaficha
 
Thanks mkuu napenda sana vitabu hapa leo nasoma biography ya baba yake bush akiwa director wa CIA aisee kaiweka uchi sana serikali ya marekani na system yake ya security yani ukisoma kwa wale wanaopenda kazi ya usalama wa taifa itawapa mwanga nini huwa kinatokea huko ndani mzee hajaficha

Mkuu kitabu gani icho aisee tunaweza kushare
 
Thanks mkuu napenda sana vitabu hapa leo nasoma biography ya baba yake bush akiwa director wa CIA aisee kaiweka uchi sana serikali ya marekani na system yake ya security yani ukisoma kwa wale wanaopenda kazi ya usalama wa taifa itawapa mwanga nini huwa kinatokea huko ndani mzee hajaficha

Mkuu una telegram…? nawezaje pata hicho…?
 
Kinaitwa looking foward an autobiography by george bush with victor gold published by doubleday 1987
 
Kinaitwa looking foward an autobiography by george bush with victor gold published by doubleday 1987

Itakuwa vizuri ukishare na sisi kitu hicho kizuri. Ntashkuru sana mkuu kupata copy yake kama unayo!
 
Mwenye kitabu change lost symbol na digital fortress anisaidie
 
Wakuu kuna vitabu vingi sana napenda kuvisoma, si mnajua books are food for thought, lakini nashindwa namna ya kuvi download, naomba mtu anaejua link au websites za kudownload anisaidie hapa. Thanks in advance
 
Usijali umefika mahali sahihi kabisa......

Eleza aina ya vitabu unayopenda kuvisoma..

Wakuu kuna vitabu vingi sana napenda kuvisoma, si mnajua books are food for thought, lakini nashindwa namna ya kuvi download, naomba mtu anaejua link au websites za kudownload anisaidie hapa. Thanks in advance
 
Thanks mkuu napenda sana vitabu hapa leo nasoma biography ya baba yake bush akiwa director wa CIA aisee kaiweka uchi sana serikali ya marekani na system yake ya security yani ukisoma kwa wale wanaopenda kazi ya usalama wa taifa itawapa mwanga nini huwa kinatokea huko ndani mzee hajaficha

And u thought America will let u read their Secrets....?
 
And u thought America will let u read their Secrets....?

mkuu hapo kweli umefikiria vyema lazima wanajaribu kuhamisha ukweli juu kile watu wanahitaji kujua na kuwaletea na kutunga uongo.
 
mkuu hapo kweli umefikiria vyema lazima wanajaribu kuhamisha ukweli juu kile watu wanahitaji kujua na kuwaletea na kutunga uongo.

Huku ndo kule kufikiria kwamba ukiangalia Movie za Intelligencia za Marekani basi unaweza ukaivamia Marekani maana Unajua Hadi White House imejengwaje.. Hahahahahahabahah
 
Thanks mkuu napenda sana vitabu hapa leo nasoma biography ya baba yake bush akiwa director wa CIA aisee kaiweka uchi sana serikali ya marekani na system yake ya security yani ukisoma kwa wale wanaopenda kazi ya usalama wa taifa itawapa mwanga nini huwa kinatokea huko ndani mzee hajaficha
kitupie pia mkuu maujanja kama hayo muhimu sana kaka
 
Asante sana mkuu idaz nimeshakipakua nitakisoma baadae.
 
Last edited by a moderator:
i must say..kitabu kizuri,it tells a lot,black and white,hakuna grey wala nini...ahsante for sharing
 
Back
Top Bottom