Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
KITABU CHA KWA BAMKWE KINAPORUKA ANGANI NA KUTUA
Mikono inamtetema.
Hii "tetema," ni msamiati wa sasa.
Sie watu wa kale tunasema mikono inamtetemeka.
Kwa nini nasema mikono inatetemeka kwa sababu angalia anavyoifungua bahasha.
Bahasha ina namna yake ya kuifungua
Ndugu yetu hakufungua bahasha bali kaichana.
Naona moyo ukimwenda mbio na usiku usingizi haukuwa unamjia sawasawa.
Akikesha.
Kisa chake nini?
Kanunua kitabu mtandaoni sasa anakisubiri wamletee.
Alikuwa anakisubiri kitabu cha Ibrahim Hussein Mohammed: "Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe."
"The eagle has landed."
Tai katua mtini.
Mikono inamtetema.
Hii "tetema," ni msamiati wa sasa.
Sie watu wa kale tunasema mikono inamtetemeka.
Kwa nini nasema mikono inatetemeka kwa sababu angalia anavyoifungua bahasha.
Bahasha ina namna yake ya kuifungua
Ndugu yetu hakufungua bahasha bali kaichana.
Naona moyo ukimwenda mbio na usiku usingizi haukuwa unamjia sawasawa.
Akikesha.
Kisa chake nini?
Kanunua kitabu mtandaoni sasa anakisubiri wamletee.
Alikuwa anakisubiri kitabu cha Ibrahim Hussein Mohammed: "Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe."
"The eagle has landed."
Tai katua mtini.