Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
KITABU CHA HISTORIA YA MUFTI SHEIKH HASSAN BIN AMEIR (1880 - 1979)
Sijapatapo kuandika chochote kuhusu Sheikh Hassan bin Ameir nikaacha kulengwalengwa na machozi.
Hamu kubwa ya Sheikh Hassan bin Ameir ilikuwa kujenga Chuo Kikuu Cha Waislam.
Hili halikutokea.
EAMWS iliyochukua jukumu la kujenga chuo hicho ikavunjwa wakati tayari jiwe la msingi limeshawekwa na Rais wa Tanzania Julius Kambarage Nyerere.
Sheikh Hassan bin Ameir akakamatwa usiku wa manane na kurudishwa Zanzibar.
Sheikh Hassan bin Ameir akapigwa marufuku kutia mguu Tanzania Bara.
Serikali ikaunda BAKWATA iwe badala ya EAMWS.
Kitabu hiki kinaeleza maisha ya Sheikh Hassan bin Ameir na mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika na yaliyotokea baada ya uhuru kupatikana mwaka wa 1961.
Sijapatapo kuandika chochote kuhusu Sheikh Hassan bin Ameir nikaacha kulengwalengwa na machozi.
Hamu kubwa ya Sheikh Hassan bin Ameir ilikuwa kujenga Chuo Kikuu Cha Waislam.
Hili halikutokea.
EAMWS iliyochukua jukumu la kujenga chuo hicho ikavunjwa wakati tayari jiwe la msingi limeshawekwa na Rais wa Tanzania Julius Kambarage Nyerere.
Sheikh Hassan bin Ameir akakamatwa usiku wa manane na kurudishwa Zanzibar.
Sheikh Hassan bin Ameir akapigwa marufuku kutia mguu Tanzania Bara.
Serikali ikaunda BAKWATA iwe badala ya EAMWS.
Kitabu hiki kinaeleza maisha ya Sheikh Hassan bin Ameir na mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika na yaliyotokea baada ya uhuru kupatikana mwaka wa 1961.