Kitabu cha TOBA kina msaada mkubwa kiroho. Mimi Nina ushuhuda.

Kitabu cha TOBA kina msaada mkubwa kiroho. Mimi Nina ushuhuda.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kitabu kinaitwa TOBA na kimeandikwa na Mai Godrey.

Ni kitabu chenye sala za TOBA za aina nyingi ambazo ukizisali kwa Imani na utulivu unatengeneza ukaribu na Mungu wako.

Kuna wakati nilipitia changamoto nzito na nikachagua moja ya sala za TOBA kwa siku 21 nikawa naamka saa 8 usiku na pia nikaandika vifungu vya biblia vinavyoendana na shida yangu ambavyo nilivisimamia asubuhi na mchana nikiviunganisha na maombi.

Kuna wakati nilimuomba Mungu na anioneshe nini chanzo cha shida yangu akafanya hivyo na pia Kuna wakati nilimuuliza Mungu makusudi yake kwangu akanipa maono flani hivi.

Pia unapaswa Katika sala hii uache anasa zote kama ngono, ulevi, vijiwe vya stori za umbea na matusi, nk ili uwe msafi.

WAKUU nilimuahidi Mungu atakapo nitendea Makuu na nitashare na watu hiki kitabu ili nao wamfiikie yeye kwa kwa maombi na kumlimlia.

Sasa kwa kuwa amenitendea Makuu basi hauna budi na wewe pia kumuomba Mungu aliejaa utukufu.

MUWE NA SIKU NJEMA, MUNGU ATUKUZWE MILELE.

Screenshot_20240615-125144.png
 
Kitabu kinaitwa TOBA na kimeandikwa na Mai Godrey.

Ni kitabu chenye sala za TOBA za aina nyingi ambazo ukizisali kwa Imani na utulivu unatengeneza ukaribu na Mungu wako.

Kuna wakati nilipitia changamoto nzito na nikachagua moja ya sala za TOBA kwa siku 21 nikawa naamka saa 8 usiku na pia nikaandika vifungu vya biblia vinavyoendana na shida yangu ambavyo nilivisimamia asubuhi na mchana nikiviunganisha na maombi.

Kuna wakati nilimuomba Mungu na anioneshe nini chanzo cha shida yangu akafanya hivyo na pia Kuna wakati nilimuuliza Mungu makusudi yake kwangu akanipa maono flani hivi.

Pia unapaswa Katika sala hii uache anasa zote kama ngono, ulevi, vijiwe vya stori za umbea na matusi, nk ili uwe msafi.

WAKUU nilimuahidi Mungu atakapo nitendea Makuu na nitashare na watu hiki kitabu ili nao wamfiikie yeye kwa kwa maombi na kumlimlia.

Sasa kwa kuwa amenitendea Makuu basi hauna budi na wewe pia kumuomba Mungu aliejaa utukufu.

MUWE NA SIKU NJEMA, MUNGU ATUKUZWE MILELE.

View attachment 3017903
Amen!
 
Kufanya toba sio lazima kufanya sala ndefu, ukifanya kosa na ukajutia, hata ukajisemea moyoni tu kwamba unaomba Mungu akusamehe, basi toba inafika na unasamehewa.
 
Kufanya toba sio lazima kufanya sala ndefu, ukifanya kosa na ukajutia, hata ukajisemea moyoni tu kwamba unaomba Mungu akusamehe, basi toba inafika na unasamehewa.
Hapa tayari ushampiga chenga mromani ambaye mpaka aende kwa padri kutubu na mlokole ambaye mpaka agaregare na sadaka juu ili asamehewe.

Dini zina utumwa wa ajabu sana ndio maana dini siyo Mungu na zipo nyingi kama baa za mtaani.
 
Hapa tayari ushampiga chenga mromani ambaye mpaka aende kwa padri kutubu na mlokole ambaye mpaka agaregare na sadaka juu ili asamehewe.
Kweli kabisa mkuu, Kumuomba Mungu sio lazima padri akuombee, naye ana shida zake anapaswa kumuomba Mungu kivyake.
 
acha ujinga, tunakushauri halafu unatufokea mbwa wewe
tafuta hela. wale akina Yakobo ,ibrahim ,akina ayubu walikuwa ni matajiri
mfano ayubu alikuwa na kondoo elf 7
wewe unang'ang'ana na toba. kwani umeua wangapi
Yesu aliishatufia inatosha
Ahsante ndugu, Mungu akusamehe.
 
Back
Top Bottom