Kitabu Cha ujasiriamali

commm

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
1,709
Reaction score
1,963
Wadau habari za jioni ,nadhani wote Ni wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli za uzalishaji Mali.

Nahitaji msaada ,Kwa yoyote mwenye soft copy ya kitabu chochote kinachohusiana na ujasiriamali pamoja na kilimo/ufugaji naomba anitumie.

Kitabu hicho kiwe kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili au kiingereza

Au kama hauna soft copy ya kitabu hicho unaweza nisaidia hata jina la kitabu na Bei yake.

Nawasilisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…