KITABU CHA ZABURI YA 1 - 10

KITABU CHA ZABURI YA 1 - 10

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
📚 KITABU CHA ZABURI YA 1 - 10

🗞Dondoo Muhimu unaposoma kitabu hiki chenye vitabu 5 ndani yake.

(Kitabu cha kwanza Zaburi ya 1 - 41)

1. kipindi ukristo unapita kwenye marekebisho moja ya kitu kikubwa walichokitumia ni nyimbo

Luther anasema reformation isingewezekana bila mambo mawili
...walipoamua kufanya kazi kubwa ya kutafsiri biblia
....Zaburi, nyimbo na music ilikua pia ni chachu kubwa sana kwenye kufanikisha reformation

2. Ukitaka kutengeneza maisha yako ya maombi unaweza kutumia zaburi

3. Kwenye zaburi kwenye pambizo kuna maneno mfano; kwa muimbishaji, awala za music n.k,,, tukikutana na maneno kama hayo yatupasa kuwa maakini maana hiyo zaburi itakua na maelekezo maalumu

4. Sura ya117 ndio sura fupi kuliko zote na 119 ni ndefu kuliko zote
Katika Zaburi zote Daudi ndiye kinara ameandika zaburi 73

5. Hiki kitabu Yesu amekinukuu mara 11 na ndio kitabu alichokonukuu mara nyingi kuliko vitabu vyote

6. Kwenye hivi vitabu vitano,,, vinafanana na vitabu vitano vya torati

7. Kwenye kila kitabu mwishoni kunaishia na neno Amen

8. Zaburi ipo kwaajili ya kuenjoy, kuibua hisia na kurekebisha hisia na brain

9. Zingatia sana kichwa unaposoma

10. Zaburi ni maalumu kwaajili ya meditation

🔹️Zaburi ya 1
Hii ni zaburi ya hekima na ni ufunguo wa zaburi zote

🔹️Zaburi ya 2
Hii ni zaburi za kifalme
Daudi alikua akijiimbia na kujisemea yeye na pia alikua akimtabiria Yesu

🔹️Zaburi ya 3
Hii daudi aliimba akiwa anamkimbia absalomu

🔹️ Zaburi ya 4
Zaburi hii mwimbishaji anatakiwa atumie ala za muziki za nyuzi
Na inatakiwa iimbwe public na watu wote
Hii ni zaburi ya kulinda jioni
Daudi aliimba jioni iliapate msaada

🔹️Zaburi ya 5
Inataka muimbishaji atumie filimbi
Hii ni zaburi inayotakiwa kuimbwa asubuhi
Daudi aliyomba asubuhi

🔹️Zaburi ya 6
Hii ni zaburi ya maombolezo
Na inatakiwa kutumia mziki wa taratibu
Daudi aliimba hii zaburi akiomboleza kwasababu kuna kosa alifanya na dhambi zikamsababishia hofu na vitisho

🔹️ Zaburi ya 7
Aliimba Daudi na inamtaja kushi mbenjamini
Daudi aliimba kutokana na Upinzani aliopata kwa kushi mbenjamini

🔹️ Zaburi ya 8
Hii ni zaburi ya kumtukuza Mungu kwa ukuu wake,
Na Daudi aliimba kwasababu ya yale ambayo Mungu amemtendea

🔹️ Zaburi ya 9
Hii ni zaburi ya kuimba kwa kupokezana na hurudia baadhi ya maneno kuonyesha msisitizo
Na hii pia huimbwa wakati wa sifa na shukrani

🔹️ Zaburi ya 10
Ni zaburi ya maombolezo
Na maombolezo haya ana complain kwanini wenye dhambi na waovu wanafanikiwa
Na anamtaka Mungu aingilie kati wasiendelee katika ubaya wao wastop
 
🗞Dondoo 10 Muhimu za Awali

1. Ni kitabu cha nyimbo cha Wayahudi
2. Kina cover nyimbo zilizotungwa ndani ya miaka 1000.
3. Agano LA kale linahitaji tafsiri kwa agano jipya Ila ZABURI zinatumika Moja kwa Moja.
4. Zinaweza tumika kwa matukio mbalimbali, public, private, unapoamka na kulala na unapokufa.
5. Zinaweza kusomwa kwa sauti, kuimbwa au kushout. Ni kwa ajili ya meditation sio analysis.
6. Zinagawanyika makundi mawili ya matumizi I songs and We songs. Na njia nzuri zaidi ni We.... Na ziko corporate.
7. Zinatumia maneno makuu maalumu matatu Please, Thank you sorry.
8. Sio kwa ajili ya kikuhani bali za matumizi ya watu wote.
9. Zinabeba aina zote za hisia za mwanadamu, furaha, huzuni, hofu.
10. Wanatheolojia wakubwa wanamaoni.

▪️Martine Luther anasema ZABURI inatumika kukagua ndani ya moyo wa kila Mtakatifu
▪️Calvin anasema ni kioo cha Moyo.

11.Luther ZABURI ni biblical ndani ya biblia ikiongozwa kunukuliwa na kutumiwa kuliko zote

12. Zaburi nje ya ZABURI zaidi ya

➡️Musa na Miriam Kut 15.
➡️Deborah Waamuzi 5
➡️Hana 1Sam 2
➡️Ayubu aliandika 3
➡️Ezekiel 1
➡️Yeremiah
➡️Isaya 1
➡️Yona
➡️Habakuki

🔹️Zaburi ni jumla ya vitabu Vitano
➡️Zote Inaishia na Doxology

13 Types of Psalms
Lament form
➡️Cry to God
➡️Complaints God
➡️Confession to Sin
➡️Petition to be delivered
➡️Vow of Praise if something happen.

Gratitude after God delivered them
➡️Proclamation am going to praise
➡️Statement of what to praise for.
➡️Testimonies
➡️Vow to praise to be going on to praise.

Penitence balance between formalities and freedom

14. Categories of Psalms
▪️ Royal Psalms
Written about King. About giving a king victory in battle. Only for the king of Israel.
▪️ Messianic or prophetic Psalms
Resulted from Royal Psalms to become messianic the Son of David eg 22.
▪️ Wisdom Psalms
Ithe bible will not make you crever but wise. Crever will give you money but wisdom will give you life.
▪️ Imprecatory Psalms
137,

Should Christian use these psalms
➡️Jews only have old Testament not New
➡️They were honesty to tell God what they feel.
➡️Their enemies were also God enemies.
➡️They have no clearly understanding of afterlife.
➡️They refuse to take revenge themselves and wanted God to punish on their behalf

🔸️Uses of Psalms

➡️Unapolala na kuamuka
➡️Unapokufa
➡️Unapojumuika na wengine

Zaburi 55 zenye maelekezo ya alama za kimziki.
 
Back
Top Bottom