Kitabu gani hiki tunachohimizwa kukisoma?

Kitabu gani hiki tunachohimizwa kukisoma?

Gagnija

Platinum Member
Joined
Apr 28, 2006
Posts
12,620
Reaction score
12,109
Msikilize huyo mama!

 
Ila yule karume alikuwa dar wakati mapinduzi yakifanyika
 
Mama ameongea ukweli mtupu.

HATA LISSU ALISISITIZA VIJANA HAKIKISHENI MNASOMA KITABU KINAITWA.

KWAHERI UKORONI KWAHERI UHURU.
Harith Ghassany.
 
Wazungu ni hatari aisee, inaana wenyewe ndo waliandaa muungano na nyerere akaahidiwa kwamba atakuwa shujaaa wa muungano
 
Mama ameongea ukweli mtupu.

HATA LISSU ALISISITIZA VIJANA HAKIKISHENI MNASOMA KITABU KINAITWA.

KWAHERI UKORONI KWAHERI UHURU.

Harith Ghassany.
Ninahisi kama kuna juhudi zinafanyika kitabu hicho kisifahamike kwa wananchi, na moderators wa JF kwa kujua au kutokujua wanakuwa sehemu ya juhudi hizo.

Uzi huu niliuanzisha kwenye jukwaa la siasa. Sioni mantiki uzi huu kuhamishiwa kwenye jukwaa la picha.

Ni ama tuna moderators walevi, au wajinga wasiojua wajibu wao. Maudhui ya uzi huu yanahusiana vipi na jamii photos?

Napata majibu kwanini baadhi ya watu makini wanaendelea kulikimbia jukwaa.
 
Back
Top Bottom