Kitabu kiitwacho IT TAKES A MINUTE TO CHANGE YOUR LIFE.

SolarPower

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
223
Reaction score
27
wakuu,

Naomba niwaombe Watanzania tuwekeze katika kitabu kiitwacho IT ONLY TAKES A MINUTE TO CHANGE YOUR LIFE kwa kukisoma ipasavyo pamoja na familia zetu na kuyafanyia kazi kwa vitendo yale yaliyomo katika kitabu hicho. lazima tutaona mabadiliko makubwa na ya kudumu katika maisha yetu na familia zetu.
 
Ahsante Mkuu, nami nimekisoma hiki kitabu kwa kweli kina manufaa sana ukikifuatilia kwa makini.... Ni moja ya vitabu ambavyo huwa sichoki kuvisoma.
 
Kama kuna mwenye kitabu hiki naomba ampe zomba wa jf!
 

Who is the author?
 
ngoja tukitafute mkuu... THANKS FOR SHARING...this is a very ince POSITIVE ATTITUDE
 
ngoja tukitafute mkuu... THANKS FOR SHARING...this is a very ince POSITIVE ATTITUDE

Nakushukuru kwa uamuzi wako. Vijana wengi wauza vitabu mtaani wanacho. Ukiwaona una uhakika wa kukipata kwa bei isiyozidi shilingi elfu 8.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…