Kitabu kipya kuhusu mzalendo wa Zanzibar na Oman

Hakuna Utawala mbaya sana duniani kama wa Kisultani hauna tofauti sana na Upapa wa Vatican.
Its all about control and power; HAKUNA UZALENDO HAPO.
 
Hakuna Utawala mbaya sana duniani kama wa Kisultani hauna tofauti sana na Upapa wa Vatican.
Its all about control and power; HAKUNA UZALENDO HAPO.
Malcom,
Masultani waliondoka Zanzibar mikono yao haina damu.
Soma historia ya wanamapinduzi wa Zanzibar ujue ukweli:

Mohamed Said: KABLA YA MAZOMBIE KULIKUWA NA AKINA KAUJORE: MWANAMAPINDUZI ALIYEUA WATU MSIKITINI
Mohamed Said: AMAN THANI ANAMWELEZA MANDERA NA MATESO YA KUNG'OA KUCHA 9

Malcom,
Nitashukuru sana baada ya kupita hapo juu ukarudi Majlis kutoa maoni yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…