Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaa, eti udhanaishi, kipige taratibu, kuna mambo yanafurahisha humo. Gamba la Nyoka pia ni rahisi kueleweka. Dunia uwanja wa fujo nilikisoma zamani, nilikipenda ila sikumbuki vizuri kama nilikielewa. Kuna mtu alisema Mzingile na Nagona ni vigumu, sikumuamini; kitabu cha kiswahili kinakuwaje kigumu🙂Ninacho hapa home ila kila siku naishia ukurasa wa pili.
Kile cha Dunia Uwanja wa Fujo nacho kinahitaji utulie sana!
Vitabu pekee vya Mwanafalsafa huyu wa "Udhanaishi" nilivyovielewa ni Rosa Mistika na Kichwa Maji
Ndugu yangu Mzingile na Nagona mwandishi ametumia mkondo wa kifalsafa katika uandishi wake kwahiyo ni vigumu kweliii.hahaaa, eti udhanaishi, kipige taratibu, kuna mambo yanafurahisha humo. Gamba la Nyoka pia ni rahisi kueleweka. Dunia uwanja wa fujo nilikisoma zamani, nilikipenda ila sikumbuki vizuri kama nilikielewa. Kuna mtu alisema Mzingile na Nagona ni vigumu, sikumuamini; kitabu cha kiswahili kinakuwaje kigumu🙂