Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
kati ya mwaka 1330 hadi 1355 duniani kuliibuka plague au tauni kali sana maarufu kama black death. Kitabu hiki kinaelezea chanzo, madhara na matokea ya Tauni hii huko ulaya. Tauni hii inasemekana iliua watu milioni 75 hadi milioni 100.
Kipindi hicho wayahudi walichinjwa sana wakituhumiwa kuweka sumu kwenye visima na wengine wakisema makabila ya kiyagudi yaliyopotea, Gogu na Magogu wamerudi na kuleta hayo maafa. Ni kakitabu kazuri ukitaka kujua hii ishu na ishu za magonjwa ya mlipuko.
mitale na midimu , Malcom Lumumba , Wick , James Comey , Alisina king kan
Kipindi hicho wayahudi walichinjwa sana wakituhumiwa kuweka sumu kwenye visima na wengine wakisema makabila ya kiyagudi yaliyopotea, Gogu na Magogu wamerudi na kuleta hayo maafa. Ni kakitabu kazuri ukitaka kujua hii ishu na ishu za magonjwa ya mlipuko.
mitale na midimu , Malcom Lumumba , Wick , James Comey , Alisina king kan